audio
audioduration (s) 2.56
39.9
| transcript
stringlengths 2
407
| split
stringclasses 1
value |
---|---|---|
kuosha vyombo tukisubiri ziive anansi akamjibu kwa haraka samahani nina kazi nyingine nitarudi baadaye nitakujulishaje zitakapokuwa tayari sungura akamwuliza anansi akawaza kidogo halafu akasema nitasokota | test |
|
nami nitakuja anansi alipita kwa nguruwe na kunusia viazi vitamu nguruwe alisema ninapika viazi vitamu na asali njoo tule anansi akamjibu ningependa lakini sina muda anansi akafunga utando ncha moja mguuni na nyingine kwenye | test |
|
chungu cha viazi vitamu akamwambia nguruwe viazi vitakapoiva utauvuta utando huu nami nitakuja anansi alipofika mtoni miguu yake yote ilikuwa imefungwa kwa ncha za utando anansi akawaza hili lilikuwa ni wazo zuri sana ila | test |
|
moja aa jamani anansi alisema alipovutwa kwa mara ya nne kabla hajapumua akahisi ncha ya tano ya sita ya saba na ya nane zikivutwa anansi alivutwa huku na kule kila mmoja alivuta ncha yake wakati ule ule miguu yake ilivutwa | test |
|
chochote tangu wakati huo buibui huwa na miguu minane myembamba tembo mmoja anaenda kunywa maji twiga wawili wanakaribia kunywa maji nyati watatu na ndege wanne pia wanaenda kunywa maji swala watano na nguruwe mwitu sita | test |
|
la ngombe malishoni kila mara ngombe hutikisa kichwa chake huonekana akijaribu kuwafukuza nzi wanaomsumbua lakini kwa nini nzi hupenda kuzunguka kichwa cha ngombe inaaminika kuwa tabia hii ilianza zamani katika nchi ya mbali | test |
|
kichwa na kupiga kelele karibu na masikio yake hivyo ndivyo atakavyopata funzo hatawahi kukudharau tena atajua kwamba kwangu mimi hata mdudu mdogo ni muhimu hiyo ndiyo sababu nzi amekuwa akifanya hadi leo yeye na marafiki zake | test |
|
alilia tafadhali usiniteketeze nitamcharaza piggy piggy alisema kwa hasira usinicharaze nitaingia chumbani piggy aliingia chumbani tayari kulala mtu simba mbwa nyoka tai na punda walienda vita yona na (sample_135) | test |
|
bibi malishoni waliila mimea ya jirani walitembelea kibanda cha bibi sokoni jioni walimsaidia bibi kuhesabu pesa alizopata hatimaye likizo ilikamilika bibi aliwapakia chakula cha kula njiani kabla yakuondoka walisema | test |
|
bibi njoo nasi odongo na apiyo walimkumbatia bibi kwaheri bibi walisema maisha yapi ni mazuri ya mjini au ya kijijini hapo zamani wanyama wa pori waliishi pamoja kunguru na mbweha walikuwa marafiki wakubwa | test |
|
nyumba yao mpya walitembea kwa muda mrefu lakini hawakufanikiwa kupata mahali pa kujenga nyumba yao mpya giza lilipoingia waliamua kukwea mti na kulala pale kisirusiru na mamake waliamua kukaa juu ya mti walikuwa | test |
|
alijificha na kupiga kelele akisema mwizi mwizi mahindi yenu yanaliwa yote kisha akatoroka na kwenda zake kima hakujua kilichokuwa kikiendelea ghafla wenyewe walifika na kumpata kima akijaribu kutoroka hata hivyo mkia | test |
|
alishuhudia kila kitu kutoka alikojificha wenye shamba waliondoka na kwenda zao kima alipokimbilia usalama wake sungura aliuchukua mkia wa kima na kwenda kuupika nitamwalika kima kwa chakula cha mchana alitabasamu baada ya mlo | test |
|
kusema hivyo alitoroka na kutoka siku hiyo walikuwa maadui mmoja anakwenda tulikuwa tukiishina bibi yangu na mama yangu binamu zangu kristina tandi na junior na shangazi waliishi nasi bibi yangu angetufundisha michezo ulikuwa wakati mzuri | test |
|
hiyo kalabushe alipopewa chakula kumpelekea shangaziye tayari ilikuwa jioni njiani kalabushe alikutana na sinisou sinisou alikuwa fisi aliyegeuka mtu sinisou alimwuliza alichobeba kalabushe alijibu nimebeba nyama mayai na | test |
|
kalabushe sinisou alikimbia mbele haraka haraka aliingia nyumbani kwa shangaziye kalabushe sinisou alimmeza shangazi alijigubika blanketi lake akasubiri kalabushe afike kalabushe alipowasili nyumba ilikuwa | test |
|
blanketi shangazi mbona masikio yako ni makubwa sana leo kalabushe aliuliza sinisou alijibu kutoka ndani ya lile blanketi kubwa ili niweze kukusikia vyema kalabushe aliuliza tena shangazi mbona macho yako ni makubwa | test |
|
sana leo sinisou alijibu ili niweze kukuona vyema mwishowe kalabushe aliuliza shangazi mbona mdomo wako ni mkubwa sana leo sinisou alijibu ili niweze kukumeza kisha sinisou aliruka na kummeza kalabushe kawaida | test |
|
shangaziye waliokolewa na wanakijiji tokea siku ile kalabushe alikoma kuzungumza sana hasa na watu asiowajua kuni ya kahawia iliyopasukapasuka mchoro wa simba wa kahawia mkate laini wa kahawia keki tamu za kahawia viatu vizee vya kahawia kifaru wa kahawia wa kumetameta kofia ya | test |
|
kahawia iliyotengenezwa kutoka kwa ngozi ya kondoo mbwa laini wa kahawia udongo mchafu wa kahawia ngozi majimaji ya kahawia na hii ni nini uso safi katika kioo kichafu | test |
|
watu wengine alifaulu kuwashawishi wazazi walimruhusu akaanza kujifunza udereva abby alikamilisha mafunzo hayo vizuri wazazi wake walijadiliana namna ya kumsaidia zaidi baadaye walikubali kumnunulia tuktuk abby alianza | test |
|
malipo abby alianza kupokea simu kutoka kwa waliohitaji kusafirishwa abby alipata pesa kwa kuwasafirisha watu hata hivyo aliendelea kuwasaidia wasiokuwa na fedha zozote abby aliifurahia kazi yake watu wakongwe walimtakia baraka | test |
|
mwanasesere wangu na ukangoka alitaka mwanasesere wangu aketi ndani ya rukwama yake mpya lakini nilitaka kucheza naye mama yake akasema abeli hakufanya tabia nzuri mama akawaza jinsi ya kumfunza mwanawe kutogusa vitu vya | test |
|
dadake vya kuchezea alikuwa na wazo alikwenda kwa rafiki yake ambaye alikuwa daktari na kumwambia tafadhali nisaidie daktari akajibu naweza kukusaidia namna gani rafiki yangu mama akajibu mwanangu abeli anatabia mbaya | test |
|
hivyo utamwambia asafishe gari lako kubwa zee ambalo huwa na vumbi kila wakati mama akasema rafiki yake alicheka na kusema ee-ee hilo litakuwa jambo zuri mamake abeli akarudi kwake nyumbani akamwuliza abeli unapokuwa mgonjwa | test |
|
ndugu mzuri asante sana kwa kumtengeneza mwanasesere wangu dadangu pole kwa kukasirika na kukuhuzunisha akasema abeli tangu siku hiyo abeli hakuchukua vitu vya dadake tena na akajaribu sana ili asikasirishwe naye abeli | test |
|
alichimba shimo ardhini akitumia mguu wake wa nyuma kisha akatoboa shimo kwenye kibuyu kwa mguu wake wa mbele alijifanya kwamba alikuwa akinywa yale maji na kumbe yalikuwa yakimwagika tamu sana alisema huku akirudisha kibuyu | test |
|
kitupu sasa tumejua bila shaka kwamba wewe ni mmoja wetu mamba wakamwambia walimruhusu buibui anansi kulala pamoja nao usiku huo kesho asubuhi nitawaambia hadithi kuhusu maisha yangu buibui anansi aliwaambia walipokuwa | test |
|
makini pande zote mbili waliwataka buibui anansi na tai watoke hapo na kwenda mbali kidogo walijadili kisa hicho kwa muda mrefu hatimaye walifikia uamuzi waliwaita tena buibui anansi na tai tunamwamini tai walisema yeye | test |
|
si mwizi wewe anansi ulikuwa ukijitakia kitu kisichokuwa chako buibui anansi hakuweza kuamini masikio yake aliangua kilio ujumbe ulisambaa kwamba uamuzi ulimwendea vibaya buibui anansi buibui anansi alipoondoka alimsikia | test |
|
hapo zamani za kale palikuwa na mfalme yeye na wake zake watatu waliishi katika kijiji kimoja kilichoitwa nuru siku moja mfalme yule aliwaita wake zake na kusema wake zangu wapendwa ningependa leo nile chakula kitamu atakayepika chakula kitamu | test |
|
mbuzi na njiwa amerika anafuga paka mmoja na mbwa mmoja atashuhudia harusi kijijinia tawaona watu wakiimba na kucheza ngoma za kitamaduni ataitembelea pwani ya kenya ataogelea katika bahari ya hindi jumapili ariana atajiunga na jamaa | test |
|
mapenzi yanichanganya kwa kweli nina hamu kuyaelewa mapenzi yataka utaalamuuliojawa na ujuzi kila siku swali gumulinakosa jibu wazi mapenzi yanichanganya sijui yatokako najaribu inshallahkueleza mapenzi | test |
|
je wamkumbuka peter dawo alowezesha gor mahia kushinda kombe la mandela cup dhidi ya esperence ya tunisia mwaka 1987 kule pwani munawakumbuka kadir farah badi ali ali kajo dan avedi mbali na sungura na mohammed abbas hawa ni baadhi ya wanasoka waliobobea kenya tunawaenzi | test |
|
timu maarufu ya st john's imewahi mara kadhaa kushiriki na hata kuwahi kushinda taji la michezo ya kanda hii ya afrika lakini nyakati ambazo haifuzu kwa michezohiyo hutambua kuwa ni bahati mbaya ama kukubali kuwa shule nyingine nazo zimepigana kufuzu | test |
|
wasichana wengi wa timu yake huwa ni wanafunzi wa kidato cha kwanza na pili na hivyo huwa wangali na miaka mitatu na miwili kuichezea timu hiyo ambayo ana uhakika itawika kwenye michezo ya mwaka unaofuata | test |
|
oyoo hapo awali aliwahi kuifanikisha timu hiyo ya st john's katika michezo ya afrika mashariki mara tatu katika miaka ya elfu mbili kumi na mbili elfu mbili kumi na nne na elfu mbili kumi na sita nina imani kubwa mwaka huu ambapo michezo ya shule yanatarajia kufanyika mojawapo ya shule za pwani itafanya vizuri | test |
|
wengine ni monalisa anyango shantel shamola sharon kathure zawadi hamisi rehema esther daiz malingi monica changawa mildred alusa mildred adisa joyce hamisi lucy karani magdalena neema kadzo jumanne rahab dama faith ndzame vivian kayat na jane gege | test |
|
mtoto umleavyo nayyo akva vyo ku kuu huja baadaye tulikuwa watoto wengi katika eleo ambao niliku sa naishi kati ya watoto hawa wengi wao tuli k409 snuce mmoja na hata darasa moig hilib watambua zaidi walikuwa wanajuliking kama james | test |
|
juma na chepto haikuwa ajabu sana japo nilikuwa mmoja wapo wakati wa kurudi nyumbani bali kuna mshangao ulioni kumby barabarani ilikuwa ya kusem by | test |
|
walisema kuwa pole pole ndio mwendo haraka haraka haina baraka ama kweli alianzia mbali likofika hungeweza kuacha hiyo tabia kwasababy ibiky wg indio mazoea kuwa maisha yake mwendo wa kobe humfikisha mbali kwa kweli juma alianza kuchanganyikiwa ingawa alikuwa kijana bado alikuwa shuleni limbichi juma auche shule na kuanza kujisifu kuwa yeye | test |
|
mikuwa hangsi yao kwa vile mama juma hakuna maana ya elimu maishani mwake a kama kitambo ambapo haikuwa lazima mtuo asome balito tu awe na | test |
|
siku moja alienda kuiba na kuangukia mkono mbaya juma alishikwa na kuwekwa hadi mchana wakati wote wako na kutia mafuta na petroli na wakawasha kibriti na hapo ndipo nilikuja kujua kuwa kilicho na mwanzo na hakikosi mwisho mwisho wa juma ulikuwa umefika mama ya juma alibaki mkono mtupu na kutiwa jelani kwa muda wa miaka kumi ambayo tulijua atakamilisha akiwa salama ama kweli mtoto unleavyo ndivyo akuavyo | test |
|
gafula bin vuu kulitokea gari lililokuwa likibeba mafuta ya petroli kwa kuwa lilikuwa likiendeshwa kwa kasi basi liliweza kuteleza na kujibwaga chini usiku wa manane kijijini ukosefu wa mali na tamaa yalileta mauti insi waliokuwa wamejifunika blanketi zao | test |
|
kama ujuavyo masikini akipata basi utajionea walibebe kadri ya uwezo wao punde si pundi moto ulianza kuteketea mili ya watu ulianza kuteketea na kufariki mili yalibaki mifupa pamoja na jivu kati yao kulikuwa na kijana barobaro wa darasa la nne ilikuwa kitu cha kustahabisha mno moyoni | test |
|
machozi yaliweza kutiririka kutoka machoni mwa watu waliokuwa wamefika pahali pale kujionea kwa macho nilishikwa na kimako panau nilipokuwa nimeweza kusimama na kujipigia picha za macho | test |
|
hapo zamani za kale paliondokea mzee mmoja aliyeitwa chanjagaa mree huyu alikuwa maskini hohehahe ho yaani hakuwa na mbele wala nyuma kutokana na jina take chanjagaa mzee huyu alikuwa amependa kuchanja kuni lili kuwauzia watu uurari wake wa kuni ndio uliompa lishe akashibe hivyo basi watu walimpenda sana kwa kuwa alikuwa na bidii za mchwa | test |
|
mtaka cha mvunguni sharti giname chaniagaa alipofika kwenye msitu mmoja alijionea kuwa kuanza kuchana kuni kutokea kaverye msitu huo kwa kawaida chaniagaa hutumia shoka ili kuchanja kunia | test |
|
marco chaniagaa alianza kuchania kuni sauti yo shoka lake lilisikika alipokuwa akiparua kuni ko ko ko mara i kadhaa joka la ndimu likaondokea akiuliza hi nani huyo anaye halibu starehe zangu mue chansaqaa aliposikia sauti | test |
|
va joka hilo alitupa shoka lake chini na kutaka kukimbia alipoanza kukimbia joka lile likamwambia kuwa asitorke kwa kula atauliwa mche huyo alihofia sana alitetemeka kama tawi lipeperushwalo na upepo moyo wake ulimdunda ndu ndu ndu kama saa kweche mezani | test |
|
kachapishaji wa vitabo ha kampuni ya matawi kampuni ya vitabu na uchapishaji aina ngapi msimamizi wa mauzo nafasi nne hana maombi lakini elfu awe na umri usiozidi miaka arubani | test |
|
katika chuo kikuu nairobi mwaka wa elfu mbili kumi na tisa ninapenda sana kufanya kazi za usimamizi kwa miaka yote nilikuwa shuleni nimekuwa nikijihusisha katika usimamizi ukarani uelekezaji ufundishaji wananchi na wanafunzi wenzangu kuhusu mambo mbalimbali yahusuyo uraia haki na wajibu wa mkenya kwa taifa lake | test |
|
nilikuwa nikisomea chuo kikuu ambapo nilijikakamua na kufanya bidii za mchwa wanaojenga kingulima kwenye na kuwa mwanagenzi bora sana nchini nilijfunga nira katika masomo yangu ya kidato cha nne na kupata gredi ya b hii ndiyo | test |
|
nitawapata kwenye kiwanda hicho natumai ombi langu litachukuliwa ni mimi wako nachukua fursa hii nzuri katika janibu yangu kuomba kazi ya ukatibu katika chuo kikuu cha maseno naamini kuwa utakaposoma barua hii sitakuwepo lakini wewe utakua na siha nzuri | test |
|
kusisitizo utumiaji wa kiswahili shuleni na yule ambaye hatafuata mkondo huo lazima apate adhibu anazofaa mzazi anafaa kumnunulia mwanawe vitabu vya hadithi ili wamarisha lugha yao mrazi anafaa kuwasomea na kwa eleza ujumbe na | test |
|
fedheha mwishowe walipoangalia nyuma waliona kwamba mambo yamekuwa mabaya sana wakaanza kutimua mbio na kuenda zao hata hivyo walipoangalia msituni waliona moto ikiwajia na hawakuwa wanajua kwamba moto inatokea wapi na kuelekea | test |
|
mwalimu mkuu naibu mwalimu mkuu walimu kiranja mkuu viranja wengine na wanafunzi wenzangu hamjamboni mnavyojua leo ni siku kuu yo mtoto wa kike duniani mimi ni yule yule mtetezi wa elimu ya mtoto msichana na haki zake zote | test |
|
asiyeelimika ni aibu na chukizo kwa familia yake na mwanamke aliyaelimika ni furaha riberibe kwa familia yake familia zikiungana zinaunda jamii jamii zenge wanawake walioelimika ni jamii zenye maendeleo ya hali juu nani kati | test |
|
yetu asiyependa maendeleo kuelimisha msichana kinaondoa utegemezi katika kitamaduni za kiafrika mwanamke amechukuliwa kama kiumbe kinachomtegemea mwanamume kama kupe anayenyonya damu kwenye mkia wa ng’ombe hii ni kwa kuwa | test |
|
atakataa kunyanyaswa na kuhiniwa na wanaume au mwanamke mwenzake hapo zamani za kale mwanamke angenyamaza na kuumia ndani kwa ndani aliponyanyaswa elimu ikampa nafasi ujasiri wa simba na nguvu za kupiga mbiu jambo mbaya linapotokea | test |
|
maiti yafukuliwa nyeri maiti ya mzee wa miaka sabini yafukuliwa mwezi mmoja baada ya mazishi mzee huyo anadaiwa kuzikwa bila familia yake kujulishwa nyeri mama mmoja aliyekuwa akiishi naye miaka anadaiwa kumzika | test |
|
mwanamume atoweka lamu inadaiwa mtu huyo wa miaka thelathini na tano alitekwa nyara mkunumbi jamaa huyo hajaonekana kwa siku tatu sasa familia yake na mashirika ya kijamii zinaomba usaidizi | test |
|
buriani chris kirubi mfanyibiashara azikwa nyumbani kwake kaunti ya murang'a alifariki jumatatu iliyopita baada ya kuugua saratani kwa muda familia yake imemtaja kuwa mtu aliyependa watu na maendeleo | test |
|
mpango wa uzazi asilimia kubwa ya wakazi wa pokot magharibi ni maskini hata hivyo familia nyingi zimekosa kushabikia mbinu za kupanga uzazi hali hiyo imewasababisha kushindwa kumudu gharama ya maisha | test |
|
yuko wapi elizabeth nkatha familia moja katika mtaa wa chania kiambu inamtafuta jamaa yao mama huyo wa watoto wawili ameripotiwa kupotea mwezi uliopita alitoweka baada ya kumtembelea mumewe hospitalini ku | test |
|
kwaheri mkapa aliyekuwa rais wa tatu wa tanzania benjamin william mkapa amefariki marehemu mkapa aliyekuwa na umri wa miaka themanini na nne alifariki alipokuwa akipokea matibabu hospitalini dar es salaam rais john magufuli amemsifu mkapa kama mchapa kazi mcha mungu | test |
|
walio na corona leo kenya leo imerekodi visa vingi vya maambukizi kwa siku moja jumla ya walioambukizwa virusi nchini imefikia elfu tatu mtu mmoja zaidi amefariki kwa corona idadi yafikia 50 | test |
|
prof ken walibora afariki walibora amefariki akipokea matibabu katika hospitali ya kitaifa ya kenyatta aligongwa na gari katika barabara ya landhies siku ya ijumaa | test |
|
ripoti za corona jamuhuri ya kidemokresi ya congo yaandikisha kifo raia wa ubelgiji aliyekuwa ametengwa amefariki italia imeimarisha mikakati watu wakifariki kufikia sasa hospitali ya aga khan yatenga sehemu ya watu 100 | test |
|
kitanzi cha jeshi afisa mstaafu wa jeshi kaunti ya baringo amepatikana akiwa amefariki afisa huyo alijitia kitanzi nje ya nyumba ya mwanamume mwingine nyumba hiyo inadaiwa kuwa ya mpenzi wa mkewe afisa huyo anadaiwa kuvurugana na mkewe mara kwa mara | test |
|
kifo cha polisi afisa alipatikana akiwa amefariki nje ya eneo la burudani mombasa wenzake wachunguza chanzo cha kifo chake jana usiku | test |
|
mauaji kisii mwanamume mmoja kutoka kisii amepatikana amefariki hii ni baada ya kuripotiwa kupotea miezi miwili iliyopita mwili ulipatikana ndani ya shimo la choo familia yake inadaiwa kuwa na mizozo ya shamba | test |
|
gavana laboso afariki dkt joyce laboso amefariki na saratani alikuwa gavana wa kaunti ya bomet alitafuta matibabu uingereza india na nairobi ameaga akiwa na umri wa miaka hamsini na nane | test |
|
kifo gerezani patrick wawire amefariki kwa njia tata polisi wanasema alijaribu kujitoa uhai familia inataka majibu zaidi kutoka polisi | test |
|
kwenye mdahalo wetu wa leo tunazungumzia changamoto na masuala ambazo wazazi hupitia wanapopoteza mtoto kabla hajazaliwa au anapozaliwa akiwa amefariki | test |
|
mauaji kiharu afisa gereza apatikana amefariki polisi wameanzisha uchunguzi | test |
|
ugonjwa wa kipindupindu mtu mmoja amefariki kaunti ya wajir waziri wa afya ametahadharisha raia | test |
|
mzigo wa karo mzigo wa karo umewasababisha wengi kukosa masomo mayatima wanne taita taveta wamekosa pesa za kuendeleza masomo watoto hao wanaishi na nyanya yao baada ya wazazi kufariki wizara ya elimu imeagiza wazazi wasiowapeleka watoto shule wakamatwe | test |
|
mikakati ya raila kinara wa odm raila odinga akutana na wafuasi wa jubilee walioasi chama wanasiasa hao wanatoka embu tharaka nithi laikipia mandera na marsabit | test |
|
tume ya uchaguzi yakamilika makamishna wanne wa tume ya iebc waanza kazi makamishan hao waliapishwa mbele ya jaji mkuu martha koome rais kenyatta aliwateua rasmi jana baada ya bunge kuwaidhinisha | test |
|
maafa ya pombe polisi kisii wanawatafuta watu waliovamia familia moja watu hao waliteketeza nyumba ya familia hiyo nyaribari chache familia hiyo ilikuwa inatuhumiwa kwa mauaji ya mzee mmoja maiti ya mzee shem sagero ilipatikana mtoni | test |
|
mauaji ya kianjokoma maafisa sita wa polisi kushtakiwa kesho kuhusiana na mauaji maafisa hao wanadaiwa kuwaua ndugu wawili kianjokoma embu ombi la maafisa hao kutaka miili ifukuliwe lilitupiliwa mbali | test |
|
washukiwa wa utapeli wanaume wanazuiliwa katika kituo cha polisi cha narok kaskazini mwingine mmoja amefikishwa mahakamani kuhusiana na ulaghai watu hao walikamatwa baada ya benki ya equity kuwasilisha malalamishi | test |
|
baa la njaa wakazi wa eneo la kyuso wanahangaishwa na njaa wakazi hao wanaitaka serikali kuwapa chakula cha msaada eneo la mutamisyi limekabiliwa na ukame kwa muda mrefu | test |
|
wito wa maridhiano viongozi wa kiisilamu wataka upatanisho kati ya rais na naibu wake wanasema tofauti kati ya wawili hao zina athari kubwa kwa taifa namlef inasema iko tayari kuongoza maridhiano kati ya wawili hao | test |
|
hali tete west pokot watu watatu wapigwa risasi na kuuawa na majingili jana jioni watatu hao walikuwa wakielekea nyumbani wakati wa tukio hilo maafisa zaidi wa usalama wametumwa eneo hilo la chesegon | test |
|
wito wa maridhiano ncck yataka rais na naibu wake kufanya mazungumzo nnck yawataka wawili hao kutafuta suluhu ya tofauti zao baraza la makanisa linawataka kuangazia masuala yanayowasibu wananchi ncck inasema ya muhimu ni utangamano wa kitaifa na maendeleo | test |
|
unyakuzi wa ardhi isiolo kundi la wajane ladai mabwenyenye wamenyakua ardhi yao kiwanjani wajane hao wanadai kuwa mabwenyenye wanashirikiana na kaunti wajane wanasema kuwa kipande chao cha ekari kimenyakuliwa | test |
|
tarda mgogoro wa makima wakazi wa vijiji vya makima wajitetea mbele ya kamati ya bunge wakazi hao walifurushwa na halmashauri ya maendeleo ya mito tarda wakazi wanadai kuwa wao ndio wamiliki wa ardhi ya makima | test |
|
vipimo kwa madereva madereva wa masafa marefu wanalalamikia vipimo madereva hao wanadai vipimo vya covid-19 vinacheleweshwa hali hiyo inachelewesha usafirishaji wa biadhaa nje ya nchi | test |
|
wito wa leba dei wafanyikazi wa majani chai wanadai nyongeza ya mishahara muungano wa wafanyikazi hawa unalalamikia uchumi umeharibika | test |
|
makala yanaangazia mnyama huyu asiyefahamika na wengi kumekuwa na tetesi kuwa ulaji wa kakakuona ulileta corona wanasayansi waonya dhidi ya kuwaangamiza wanyama hawa mnyama huyu analiwa sana katika afrika magharini na bara asia | test |
|
msanii shupavu janet cherop mkazi wa cherondo kaunti ya nandi asema jamii imemtenga cherop anaugua ugonjwa wa kuvimba mishipa lakini anajichumia riziki cherop hurekodi video za kutia moyo katika mtandao wa tiktok | test |
|
kitu ambacho kina nipa msukumo ni matukio kwenye jamii nikifanya kushirikian anaangalia kipaji cha msanii wasanii wa kenya hatujatoa usaidizi kwa wasanii wenzetu inafaa msanii akitoa wimbo mpya tunampa usaidizi kwenye mitandao ya kijamii | test |
|
mwanamke katika uislamu jamii yatakiwa kutambua nafasi ya mwanamke hasa katika uongozi walimu wa dini ya kiislamu wataka mwanamke apigwe jeki kulingana na kurani wanawake hawapewi nyadhifa msikitini maimamu wa msikiti wa riyadha lamu watoa mafunzo ya kidini | test |
|
upangaji uzazi kilifi asilimia kubwa ya wanaume wakumbatia mbinu za upangaji uzazi wanaume hao wanashirikiana na wake zao katika kupanga uzazi juhudi za kutoa hamasisho katika jamii zimechangia hali hii | test |
|
kabila jipya la shona watu wa jamii hii wapokea vitambulisho vya kitaifa watu wa jamii hii sasa wanakuwa kabila la hapa nchini mshukiwa asakwa mwanaume anayedaiwa kumuua mke na mtoto asakwa kuresoi kisa hicho kiliripotiwa kutokea nyumbani kwao jana asubuhi | test |
|
mwanamke bomba juhudi za rachel maru za kuokoa waathiriwa wa ajali za barabarani maru amekuwa akiwasadia manusura wa ajali eneo la salgaa nakuru kaunti ya nakuru ilimtunuku wadhifa wa mwakilishi wadi maalum | test |
|
ukatili wa mashemeji washukiwa watano wasakwa kwa mauaji ya mwanamke nyamira marehemu anadaiwa kushambuliwa baada ya kusingiziwa wizi marehemu anadaiwa kumuibia mama mkwe shilingi elfu tano wakazi waliojawa na hasira walichoma nyumba kumi na nne | test |
|
asilimia kubwa ya mwanamke anapenda mwanamume ambaye anauwezo wa kukaa na kusikilizana sio mwanamume mwenye kipato uwezo ama anayefanya kazi - miriam migomba | test |
End of preview. Expand
in Dataset Viewer.
README.md exists but content is empty.
- Downloads last month
- 77