BUFFET / tydiqa /sw /tydiqa_8_100_train.tsv
akariasai's picture
Upload 204 files
479c437
raw
history blame
3.02 kB
question: Nani alijenga ukuta mkubwa wa China? context: Ukuta ulijengwa na nasaba mbalimbali za watawala wa China tangu mwaka 200 KK. Shabaha yake ilikuwa ulinzi wa milki dhidi ya mataifa na makabila wa kaskazini walioendelea kushambulia China. Watu wa kaskazini walikuwa wahamiaji waliotumia farasi na ngamia, hivyo haikuwa rahisi kujua ni wapi watakapojaribu kuingia. ulijengwa na nasaba mbalimbali za watawala wa China
question: Makao makuu la shirika la Msalaba Mwekundu iko wapi? context: Shirikisho la Kimataifa la Vyama vya Msalaba Mwekundu na Hilali Nyekundu (IFRC) ilianzishwa mwaka wa 1919 na kwa sasa huratibu shughuli kati ya 186 za kitaifa za Msalaba Mwekundu na Hilali Nyekundu katika Shirikisho. Kimataifa, Shirikisho linaongoza na kupanga, kwa ushirikiano wa karibu wa Vyama vya wa kitaifa , misaada pamoja na kukabiliana na mahitaji ya dharura. Sekretarieti ya Shirikisho la Kimataifa ina makao yake mjini Geneva, Uswizi. Mwaka wa 1963, Shirikisho (likijulikana kama Shirikisho la Vyama vya Msalaba Mwekundu) lilipatiwa Tuzo ya Amani ya Nobel kwa pamoja na ICRC. [2] Geneva, Uswizi
question: Rais wa kwanza wa Urusi aliitwa nani? context: Marais wa Urusi baada ya 1991 walikuwa Boris Yeltsin na Vladimir Putin. Boris Yeltsin
question: Rais wa kwanza wa China anaitwa nani? context: Sun Yat-sen (12 Novemba 1866 12 Machi 1925) alikuwa kiongozi wa kisiasa nchini China aliyeshiriki katika mapinduzi ya China ya 1911 yaliyoondoa utawala wa kifalme nchini akawa rais wa kwanza wa Jamhuri ya China na mwanzilishi wa chama cha Kuomintang. Sun Yat-sen
question: Paul Labile Pogba alizaliwa mwaka gani? context: Paul Labile Pogba (aliyezaliwa 15 Machi 1993) ni mchezaji wa soka wa Kifaransa ambaye anacheza klabu ya Manchester United katika ligi kuu ya uingereza na timu yake ya taifa ni Ufaransa. Yeye hufanya kazi hasa kama kiungo wa kati na ni vizuri kucheza nafasi zote ya mashambulizi na ulinzi. 1993
question: Mtaguso wa pili wa Vatikano ulikuwa mwaka gani? context: Mbele ya changamoto hizo, Mtaguso wa pili wa Vatikano (1962-1965) ulielekeza njia mpya za kuendeleza Ukristo katika ulimwengu wa kisasa. 1962-1965
question: Nani alibuni bendera ya Tanzania? context: Bendera hii imepatikana tangu 30 Juni 1964 kutokana na muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Bendera ya Tanganyika ilikuwa na rangi ya kijani ikiwa na kanda nyeusi katikati yenye milia za njano kando. Buluu imepatikana kutokana na bendera ya Zanzibar ya mwaka 1964 ikimaanisha bahari. Hata hivyo toka mwaka 2005, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ilianza kutumia rasmi bendera ya Zanzibar. Hii ni mara ya kwanza toka kuungana kwa Tanganyika na Zanzibar kwa funguvisiwa la Zanzibar kuwa na bendera yake lenyewe. kutokana na muungano wa Tanganyika na Zanzibar
question: Zimbabwe ilipata uhuru mwaka gani? context: Baada ya miaka 14 ya kutengwa kimataifa na kupigana na raia Waafrika katika miaka ya 1970, mapatano ya mwaka 1979 yalikubali wakazi wote wawe na haki ya kupiga kura na nchi ikawa huru kweli kwa jina la Zimbabwe mwaka 1980. 1980