sentence: Alisema wameshapata taarifa za njama ya uitishwaji wa mkutano mkuu wa taifa """" feki """" wa Lipumba na genge lake , lakini Mei 9 , mwaka 2018 yeye pamoja na Naibu Katibu Mkuu ( Bara ) , Nassor Ahmed Mazrui , walifungua shauri mama namba 84 / 2018 na shauri dogo namba 248 / 2018 kupinga kuitisha mkutano huo feki . Mei Bara Ahmed Mazrui 2018 2018 sentence: The U . sentence: Marekani inapeleka ujumbe wa maafisa wa ngazi ya chini kutokana na mvutano ulioko kati ya nchi hizi mbili kuhusiana na mradi huo . Marekani sentence: Sauti ya Amerika - VOA ilizungumza na mwandishi wetu Saleh Mwanamilongo akiwa katika makao makuu ya tume ya uchaguzi mjini Kinshasa na kwanza anaelezea kile alichosema mwenyekiti wa CENI . Sauti ya Amerika VOA Mwanamilongo Kinshasa CENI sentence: Katika video ya awali Rahaf alionekana akitembea ndani ya chumba cha hoteli huku akisema “ anataka kuishi ” . sentence: Katika tamko lilowekwa kwenye Facebook Jumatano , ubalozi huo pia uliituhumu Washington kwa “ kuwasaka ” raia wa Russia sehemu mbalimbali ulimwenguni . Facebook Jumatano Washington Russia sentence: Issachar alikuwa ametokea India akielekea Israel ambapo aliwekwa chini ya ulinzi na hakutakiwa kutoka nje ya uwanja wa ndege wa Russia . India Israel Russia sentence: Wakati Johnson akiendelea kupata nafuu , waziri wa mambo ya nje Dominic Raab amekuwa akikaimu nafasi ya uwaziri mkuu . Raab sentence: Trump anasema hawezi kufanya kazi na wademnokrats katika mazingira kama haya . sentence: Abdulrahman mfanyakazi wa benki mjini Aden amesema : """" Hali ni tulivu . Aden sentence: S . sentence: Wawekezaji wana wasiwasi kuwa mvutano wa kibiashara kati ya nchi mbili zenye uchumi mkubwa kuliko nchi zote duniani zinakaribia kuanza upya kutokana na tuhuma za uongozi wa Trump . sentence: Shirika la habari la Reuters linaripoti kuwa wizara ya mambo ya nje Marekani ilisema Ijumaa katika ukurasa wake unaotoa taarifa za ushauri wa safari kwamba wasafiri wa Marekani wanatakiwa kuwa makini zaidi ikielezea ripoti ya kifo kinachoonekana kuhusiana na Ebola jijini Dar Es Salaam . Reuters Marekani Ijumaa Marekani Dar Es Salaam sentence: Mgombea wa upinzani Felix Tshisekedi ameshinda uchaguzi wa rais nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo uliokuwa una ushindani mkubwa tume ya uchaguzi imesema Alhamisi . Tshisekedi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Alhamisi sentence: , A potential pardon for Issachar , 26 , was reportedly discussed last month when Russian President Vladimir Putin called Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu to congratulate him on his 70th birthday . Putin Israeli Netanyahu sentence: Bei inapokuwa chini ya sifuri inamaanisha wazalishaji wa mafuta wanawalipa wanunuzi kuhamisha mafuta yao kutoka katika bohari yao kutokana na wasiwasi watashindwa kuwa na uwezo wa kuhifadhi mafuta mengine yanayoendelea kuzalishwa . sentence: Aidarus al Zubaidi Kiongozi wa kundi hilo la la Southern Transitional Council STC , Aidarus al Zubaidi amesema ataheshimu makubaliano ya kusitisha mapigano na yuko tayari kwa mazungumzo ya amani yanayosimamiwa na Saudi Arabia . al Zubaidi Southern Transitional Council STC al Zubaidi Saudi Arabia sentence: Wanachama wanaomuunga mkono Kiongozi wa Chama cha Wananchi ( CUF ) , Maalim Seif , umewatahadharisha wajumbe wanaomuunga mkono Profesa Ibrahim Lipumba , ambaye anatambuliwa na ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa kutohudhuria mkutano ulioandaliwa kufanyika Machi 12 - 15 kumuondoa kiongozi wao . Chama cha Wananchi CUF Seif Lipumba Machi sentence: Spika : “ Waandishi na hakika hizo fedha zitarudi . sentence: Sababu za kuzuka mapigano ya wiki iliyopita haifahamiki , lakini wachambuzi wanasema sehemu kubwa ya wakazi wa kusini mwa Yemen hawana tena imani na Rais Mansour na hasa bado hawaridhiki na hali kwamba walilazimishwa kuungana na kaskazini kati kati ya miaka ya 1970 . Yemen 1970 sentence: 57 ” . sentence: """" Ikiwa utulivu hautapatikana kwa haraka iwezekanavyo , hali ya ghasia itakayoongezeka Libya itaathiri kanda zima la Mediterranean , """" amesema . Libya Mediterranean sentence: The stolen credit card data sold on Burkov's site has resulted in over $ 20 million in fraudulent purchases made on United States credit cards , """" the Justice Department said in a statement . United States sentence: On November 10 , the Supreme Court of Israel rejected Burkov's appeal amid Russia's protests . November Israel Russia's sentence: Tanzania na DRC zinashirikiana mpaka ambao unatenganishwa na ziwa . Tanzania DRC sentence: Issachar was flying from India to Israel when she was detained and wasn't supposed to exit the airport in Russia . India Israel Russia sentence: Mapema majira ya alfajiri Alhamisi mkuu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi DRC - CENI , Corneille Nangaa ametangaza Tshisekedi “ alipata kura asilimia 38 . Alhamisi Tume ya Taifa ya Uchaguzi DRC CENI Nangaa sentence: Matokeo ya awali yameonyesha kuwa yeye anaongoza katika kinyang’anyiro hicho dhidi ya mgombea wa muungano wa upinzani Martin Fayulu na yule wa muungano wa chama tawala Emmanuel Shadary . Fayulu Shadary sentence: “ Najua wewe ni mtu utakayeongoza bila ubaguzi . sentence: Kiongozi huyo alisema hayo alipokutana na Chansela wa Ujerumani Angela Merkel walipokuwa wanazindua chuo kikuu kipya cha pamoja kati ya Uturuki na Ujerumani mjini Istanbul . Ujerumani Merkel Uturuki Ujerumani Istanbul sentence: Aliomba jina lake kamili lisitumiwe kwenye taarifa hii . sentence: Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki ameonya kwamba ghasia zitaongezeka Libya ikiwa hatua za haraka katika juhudi za kuleta amani ya kudumu hazitachukuliwa . Tayyip Erdogan Uturuki Libya