sentence: Hii ni baada ya rais Yoweri Museveni kuongeza mda wa amri karibu 36 alizotoa katika juhudi za kukabiliana na maambukizi ya Corona nchini humo kwa wiki tatu zaidi kuanzia leo jumanne . Museveni wiki jumanne sentence: Kulingana na Museveni , hatua yake ya kuongeza mda wa kusitisha shughuli za kawaida nchini humo , “ itasaidia kushinda nguvu virusi vya Corona au kutoa mda wa kutosha kwa nchi kujitayarisha vizuri kukabiliana na virusi hivyo . sentence: ” Miongoni mwa hatua alizochukua rais huyo kukabiliana na maambukizi ya virusi vya Corona ni kupiga marufuku usafiri wa magari , kufunga biashara ambazo sio muhimu isipokuwa uuzaji na ununuzi wa chakula na dawa . sentence: Museveni amesema hatua alizochukua zimesaidia sana kukabiliana na maambukizi , na haziwezi kulegezwa kwa sasa hadi virusi hivyo vitakaposhindwa nguvu kabisa . sentence: “ Tusiwe kama mama aliyejifungua mtoto baada ya kufikisha miezi 8 . miezi sentence: Tusubiri hadi miezi 9 . miezi sentence: Tusikose Subira . sentence: Tusubiri kwa siku 21 zaidi , ” alisema Museveni . sentence: Wakati huo huo , Museveni ametangaza mipango ya kuwarudisha Uganda raia wa nchi hiyo ambao wamekwama nchi za nje kutokana na janga la Corona . Uganda sentence: Amesema amemwelekeza waziri mkuu Dk . sentence: Ruhakana Rugunda na waziri wa mambo ya nje Sam Kutesa , kusimamia mpango wa kuwarejesha nyumbani raia wa Uganda waliokwama nje ya nchi . Rugunda Kutesa Uganda sentence: Hii ni baada ya baadhi ya raia wa Uganda kupitia mitandao ya kijamii kusema wameishiwa na pesa kununua chakula katika nchi ambazo wamekwama . Uganda sentence: “ Nitazungumza na waziri wa mambo ya nje kujua mipango iliyopo kuwafikia raia wa Uganda waliokwama nje ya nchi na kuhakikisha tunawarudisha nyumbani . Uganda sentence: Hili ni jambo rahisi . sentence: Tutawasafirisha halafu tuwaweke karantini kwa mda . sentence: Hili linawezekana kabisa bila kuhatarisha Maisha ya wengine , ” alisema Museveni katika hotuba kwa taifa Jumanne . Jumanne sentence: Mwito wa kuwarejesha nyumbani raia wa Uganda umetolewa wakati kuna ripoti za waafrika kudhulumiwa nchini China , kuhusiana na maambukizi ya virusi vya Corona . Uganda China sentence: Tukio hilo limekashifiwa kote duniani , mataifa ya Afrika yakiandikia China kutaka likomeshwe mara moja . Afrika China sentence: Museveni hata hivyo amesema huenda ikawa vigumu kutekeleza agizo la kuwaondoa raia wake katika nchi ambazo zimefunga mipaka yake kama Marekani . Marekani sentence: “ kwa mfano , ni vigumu kuwaondoa raia wa Uganda walio Marekani kwa sababu wanaishi sehemu mbalimbali na usafiri nchini humo unazuiliwa . Uganda Marekani sentence: Hatuwezi kutuma ndege kutafuta kila mtu mahali alipo , ” ameeleza Museveni . sentence: Watu 54 wamethibitishwa kuambukizwa virusi vya Corona nchini Uganda kufikia Jumanne . Uganda Jumanne sentence: Idadi kubwa ya walioambukizwa ni wale walioingia Uganda kutoka nchi za nje hasa Dubai . Uganda Dubai sentence: Imetayarishwa na Kennes Bwire , VOA , Washington DC . Bwire VOA Washington DC sentence: Maelfu ya waombolezaji walikusanyika Jumamosi katika maandamano ya maziko yaliokatiza mjini Baghdad ya jenerali wa ngazi ya juu wa Iran na kiongozi wa wanamgambo wa Iraqi waliouawa katika shambulizi la anga ambalo limepelekea mgogoro wa eneo hilo kuongezeka . Jumamosi Baghdad Iran Iraqi sentence: Jenerali Qassem Soleimani , mkuu wa kikosi maalum cha Quds na mtayarishaji wa mkakati wa usalama wa eneo hilo , aliuawa katika shambulizi la anga mapema Ijumaa karibu na uwanja wa ndege wa kimataifa uliopo makao makuu ya Iraq . Soleimani Quds Ijumaa Iraq sentence: Soleimani ndiye aliyekuwa mpangaji wa sera ya Iran katika eneo hilo akiwakusanya wanamgambo kote nchini Iraq , Syria na Lebanon , ikiwemo vita dhidi ya kikundi cha Islamic State . Iran Iraq Syria Lebanon Islamic State sentence: Pia analaumiwa kufanya mashambulizi dhidi ya majeshi ya Marekani na washirika wake tangu wakati Marekani ilipoivamia Iraq mwaka 2003 . Marekani Marekani Iraq 2003 sentence: Waombolezaji wengi waliokuwa wamevalia vazi jeusi , na kubeba bendera ya Iraqi na bendera ya wanamgambo wanaosaidiwa na Iran ambao ni waaminifu kwa Soleimani . Iraqi Iran sentence: Pia walikuwa wanaomboleza kifo cha Abu Mahdi al - Muhandis , kamanda wa ngazi ya juu wa wanamgambo wa Iraqi ambaye aliuawa katika shambulizi hilo pia . Mahdi al - Muhandis Iraqi sentence: Maafisa wa serikali ya Kenya wanasema watu watatu wameuawa Alhamisi wakati watu wanaoshukiwa kuwa ni wapiganaji wa al - Shabab walipo lishambulia basi katika kaunti ya pwani ya Lamu . Kenya Alhamisi al - Shabab Lamu sentence: Safari kupitia barabara ya Lamu - Garsen zimesitishwa wakati jeshi na vyombo vya usalama vikifuatilia shambulizi hilo katika eneo , katika kuwatafuta washukiwa wa uhalifu huo . Lamu Garsen sentence: Watu watatu wengine waliokuwa ndani ya basi wameripotiwa kujeruhiwa katika shambulizi hilo . sentence: Basi hilo lililokuwa linasafiri kutoka Mombasa kwenda mji wa Lamu . Mombasa Lamu sentence: Kamishna wa Kaunti ya Lamu Irungu Macharia amethibitisha kwa vyombo vya habari kutokea kwa shambulizi hilo . Lamu Macharia sentence: Kikundi cha al - Shabab cha Somalia kimeendelea kufanya mashambulizi mbalimbali nchini Kenya katika muongo uliopita . al - Shabab Somalia Kenya sentence: Kikundi hicho kinasema kinalipiza kisasi kwa kitendo cha Kenya kuchangia vikosi vyake katika Jeshi la kulinda Amani la Umoja wa Afrika AMISOM nchini Somalia . Kenya Afrika AMISOM Somalia sentence: Imetayarishwa na mwandishi wetu , Kenya . Kenya sentence: Watu saba wamekamatwa kufuatia mashambulizi ya mabomu yaliyotokea mapema Jumapili nchini Sri Lanka na kusababisha maafa na uharibifu mkubwa wa mali . Jumapili Sri Lanka sentence: Katika mashambulizi mabaya Zaidi kuwahi kushuhudiwa nchini humo ndani ya kipindi cha mwongo mmoja , milipuko kadhaa ilitokea kwenye makanisa na mahoteli ya kifahar na kuwaacha angalau watu 207 wakiwa wamekufa na Zaidi ya 400 kujeruhiwa . sentence: Milipuko sita ya kwanza ambayo ilisikika mwendo wa saa mbili na dakika arobaine na tano asubuhi , ndiyo iliyoua watu wengi Zaidi . asubuhi sentence: Milipuko miwili midogo ilitokea saa kadhaa baadaye . sentence: Mabomu hayo yalilenga waumini wa kanisa katoliki waliokuwa kwenye ibada ya Pasaka , pamoja na watalii katika miji mitatu ya Sri Lanka , ikiwa ni pamoja na mji mkuu Colombo . Sri Lanka Colombo sentence: Mashambuzi hayo yamewashtua raia wa nchi hiyo ambayo imekuwa tulivu tangu umwagikaji mkubwa wa damu uliosababishwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe takriban mika kumi iliyopita . sentence: Takriban raia 30 wa kigeni , wakiwa ni pamoja na Wamarekani na Waingereza , ni kati ya waliouawa au kujeruhiwa kwenye mashambulizi hayo ya Jumapili . Jumapili sentence: Wakristo ni asili mia saba na nusu ya watu wote nchini humo , ambako idadi kubwa ni waumini wa Budha . sentence: Sri lanka ina takriban watu milioni 21 . sentence: Kiongozi mkuu wa kanisa Katoliki Papa Francis aliongoza ibada ya Pasaka iliyohudhuriwa na maelfu ya waumini na watalii , kwenye kanisa la St Peters Basilica , mjini Vatican , na kutuma salamu za rambirambi kwa jamaa na marafiki wa waathiriwa wa mashambulizi hayo . St Peters Basilica Vatican sentence: Papa Francis alieleza masikitiko yake kufuatia mashambulizi hayo na kuiombea jamii ya Wakristo , ambao alisema , walilengwa kwenye makanisa , pamoja na wageni waliokuwa kwenye mahoteli . sentence: Papa Francis aidha aliombea amani nchini Syria , Yemen , Libya na Sudan Kusini . Syria Yemen Libya Sudan Kusini sentence: Akizungumza kwenye ukumbi wa St Peter Square uliojaa maua ya kurembesha , Papa Francis , akiwa na mavazi meupe , alitoa ujumbe wake wa Baraka kwa mji wa Vatican na ulimwengu mzima , na kabla ya maneno yake ya mwisho ya kuwatakia watu wote Pasaka Njema , alisema alipokea habari kuhusu mashambulizi ya Sri Laanaka kwa huzuni mkubwa . St Peter Square Vatican Sri Laanaka sentence: Aidha kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki aliziombea nchi za Venezuela na Nicaragua , na kueleza matumaini yake kwamba mizozo inayoendelea huko itatatuliwa kwa njia ya amani . Venezuela Nicaragua sentence: Maadhimisho ya sikukuu ya Pasaka hufanyika kama mwisho wa wiki takatifu kwa Wakristo , ambapo kati ya mengine , Yesu alishiriki chakula cha jioni cha mwisho na wanafunzi wake siku ya Aljhamisi , kabla ya kusulubiwa siku ya Ijumaa , ijulikanayo kama Ijumaa kuu . Aljhamisi Ijumaa Ijumaa sentence: Waislam katika sehemu mbali mbali duniani wameanza kuadhimisha sikukuu ya Eid al - Fitr isiyokuwa na shamrashamra Jumapili , wengi wakiwa chini ya amri ya kutotoka nje . Jumapili sentence: Hata hivyo kulegezwa kwa masharti katika baadhi ya nchi kunatoa afueni kwa waumini katika baadhi ya nchi pamoja na kuwepo hofu ya maambukizo ya hali ya juu ya virusi vya corona . sentence: Sikukuu ya siku tatu , inayoadhimisha kumalizika kwa mwezi mtufuku wa Ramadhan , kwa kawaida inasheherekewa misikitini , karamu katika familia na ununuzi wa nguo mpya , zawadi na kupeana vyakula vitamu . siku sentence: Virusi vya corona Lakini mwaka huu , sherehe hizo zimeghubikwa na kuenea kwa virusi vya corona , ambapo nchi nyingi zimeweka masharti makali ya kutotoka nje baada ya kulegeza masharti hayo wakati wa mwezi wa Ramadhan iliyopelekea mlipuko mkubwa wa maambukizi . sentence: Ikiathiri hata zaidi sherehe za kidini , katika nchi nyingi hasa Mashariki ya Kati – kutoka Saudi Arabia mpaka Misri , Uturuki na Syria – nchi hizi zimekataza ibada zenye mikusanyiko , wakati wa sherehe hizi , ili kupunguza kuenea kwa ugonjwa huo . Saudi Arabia Misri Uturuki Syria sentence: Makka na Madina Saudi Arabia , ambayo ndio kitovu cha maeneo matakatifu ya Uislam , ilianza kutekeleza amri ya kutotoka nje saa 24 kwa siku tano , kuanzia Jumamosi baada ya maambukizi kuongezeka mara nne zaidi tangu kuanza kwa mwezi wa Ramadhan na kufikia zaidi ya wagongwa 70 , 000 – idadi ya juu kuliko zote katika nchi za Ghuba . Saudi Arabia Jumamosi Ghuba sentence: Msikiti Mkuu wa Makka umekuwa na waumini wachache wanaohudhuria ibada tangu mwezi Machi , ambapo kwa ajabu eneo la Kaaba tukufu ambalo kawaida huzungukwa na waumini kila wakati , kwa mara ya kwanza likiwa halina watu – Kaaba ambayo ni ya mraba ambapo waumini hufanya ibada zao . Machi Kaaba Kaaba sentence: Lakini siku ya Jumapili , Imam mmoja alisimama katika membari wakati maafisa wa usalama , baadhi yao wakivalia barakoa , walikuwa wamesimama kati kati ya mistari ya waumini waliokusanyika mbele ya Kaaba kutekeleza ibada ya Eid — misala yao ikiwa imetenganishwa ili kutokaribiana . Jumapili Kaaba sentence: Msikiti wa Al - Aqsa Huko katika msikiti wa Al - Aqsa , Jerusalem , eneo la tatu takatifu la Uislam baada ya Makka na Madina , sala ya Eid haikuruhusiwa ndani ya msikiti huo , pamoja na kuwa eneo hilo lilitarajiwa kufunguliwa tena baada ya sikukuu ya Eid . Al - Aqsa Al - Aqsa Jerusalem sentence: Wakati wa alfajiri , mapambano yalitokea kati ya maafisa wa usalama wa Israeli na waumini waliokuwa wamekusanyika nje ya msikiti huo . Israeli sentence: Hata hivyo Sala ya Eid hatimaye ilifanyika nje , mpiga picha wa shirika la habari la AFP alisema . AFP sentence: Huko Gaza , serikali ya Hamas iliruhusu sala kufanyika miskitini pamoja na kuwepo kifo cha kwanza cha mgonjwa wa virusi vya corona Jumamosi , lakini waumini wengi wao walikuwa wamevalia barakoa na waliweka misala yao hatua kadhaa ili kutosogeleana wakati wa ibada hiyo . Gaza Jumamosi sentence: Akizungumza na shirika la habari la AFP Akram Taher mumini moja amesema “ Sherehe za Eid hazifani manmo wakati huu wa hali ya janga la corona – watu wanahisia ya kua na hofu ” Bara la Asia Waislam katika bara la Asia – kutoka Indonesia hadi Pakistan , Malaysia na Afghanistan – wamekusanyika katika masoko katika shamrashamra za manunuzi ya sikukuu , wakikiuka muongozo wa kudhibiti virusi vya corona na wakati mwengine polisi wakijaribu kutawanya mikusanyiko ya makundi makubwa . AFP Taher Asia Asia Indonesia Pakistan Malaysia Afghanistan sentence: “ Kwa kipindi cha miezi miwili watoto wangu wamekuwa ndani , ” amesema Ishrat Jahan , mama mwenye watoto wanne katika soko lenye harakati huko katika mji wa Rawalpindi nchini Pakistan . Jahan Rawalpindi Pakistan sentence: “ Karamu hii ni kwa ajili ya watoto , na kama hawataweza kusheherekea Eid kwa kuvaa nguo mpya , hakuna sababu ya sisi kufanya kazi kwa bidii mwaka mzima . sentence: ” Indonesia Nchini Indonesia – taifa lenye Waislam wengi zaidi duniani – watu wamehiari kuwatumia walanguzi na hati bandia za kusafiri ili kukwepa amri za kutotoka nje kwa ajili ya kusafiri wakati wa kumalizika Ramadhan jambo ambalo linaweza kuongeza maambukizo . Indonesia Indonesia sentence: Katika jimbo la wahafidhina la Aceh , makundi makubwa ya watu walikusanyika kufanya ibada ambapo wachache walivalia barakoa na wachache walisali bila ya kukaribiana , na msikiti mkuu wa Baiturrahman katika makao makuu ya jimbo hilo lilifurika watu . Aceh Baiturrahman sentence: “ Nilikuwa na hofu kusali katika hali kama hiyo , lakini kama Muislam , niwajibu wangu kutekeleza ibada ya Eid kwa jamaa kama njia ya kumshukuru Allah , ” mmoja wa wale waliohudhuria ibada hiyo aliiambia AFP . AFP sentence: Mashariki ya Kati Idadi ya vifo kutokana na COVID - 19 Mashariki ya Kati na Asia imekuwa iko chini kuliko Ulaya na Marekani , lakini maambukizo yanaongezeka , na kusababisha hofu ya virusi hivyo vinaweza kufanya mifumo ya afya ambayo haipewi fedha za kutosha kuelemewa . Asia Ulaya Marekani sentence: Iran Iran , ambayo imepitia mlipuko wenye vifo vingi katika Mashariki ya Kati , imewataka raia wake kuepuka kusafiri wakati wa Eid wakati ikipambana kudhibiti kiwango cha maambukizo nchini humo . Iran Iran sentence: Waziri wa Afya Saeed Namaki amesema nchi hiyo imejikita kwa nguvu zote kuzuia “ maambukizo mapya ya ugonjwa huo ” yanayo sababishwa na watu “ ambao hawaheshimu kanuni za afya ” . Namaki sentence: Biashara kwenye Masoko ya fedha ya Ulaya imeshuka leo Alhamisi kukiwa na ongezeko la hofu ya kwamba uchumi wa dunia bado unakabiliwa na hatari ya janga la virusi vya corona . Ulaya Alhamisi sentence: Kipimo cha hisa cha Uingereza FTSE kimeshuka kwa kishindo kwa asilimia 2 . Uingereza sentence: 2 katikati ya siku ya mauzo , wakati kile cha Paris CAC - 40 kilikuwa chini wakati wa mauzo kwa asilimia 1 . Paris sentence: 8 na cha Frankfurt Dax kiliporomoka kwa asilimia 1 . Frankfurt sentence: 5 . sentence: Hisa zilianza kuuzwa kwa haraka Alhamisi bara la Asia , na kusababisha kipimo cha hisa cha Tokyo Nikkei na kile cha Sydney S & P / ASX vyote kupata hasara ya asilimia 1 . Alhamisi Asia Tokyo Sydney sentence: 7 wakati wa kumaliza mauzo . sentence: Masoko ya hisa ya Hong Kong , Seoul , Shanghai na Taipei yalipata hasara kubwa . Hong Kong Seoul Shanghai Taipei sentence: Wawekezaji wanaonekana kuvunjika moyo kutokana na tahadhari iliyotolewa Jumatano na Mwenyekiti wa Benki Kuu ya Marekani Jerome Powell , kuwa hali ya kudorora hivi sasa kwa uchumi imesababishwa na mlipuko wa COVID - 19 ulimwenguni na utaendelea kwa muda mrefu katika siku za usoni . Jumatano Marekani Powell sentence: Nchini Marekani biashara kwenye masoko ya fedha , kipimo cha Dow Jones kilikuwa kimeshuka kidogo kimauzo , wakati S & P 500 na Nasdaq yalikuwa katika wigo chanya wa biashara , wakati soko la Wall Street Alhamisi likionyesha mwanzo wenye biashara mchanganyiko . Marekani Wall Street Alhamisi sentence: Wakati bei ya hisa inaendelea kuyumba , bei ya mafuta inapanda . sentence: Bei ya mafuta ghafi ya kipimo cha Marekani , West Texas Intermediate , inauzwa dola za Marekani 26 . Marekani Texas Marekani sentence: 37 kwa pipa , kikiwa juu kwa asilimia 4 . sentence: 2 , wakati bei ya mafuta ghafi cha Brent ambacho ni kipimo cha kimataifa , inauzwa kwa dola 30 . Brent sentence: 28 kwa pipa , ikiwa juu kwa asilimia 3 . sentence: 7 . sentence: Wafuasi wa upinzani nchini Burundi wamefurahishwa na hatua ya chama cha National Congress for Liberty ( CNL ) kumteua naibu wa spika wa bunge la nchi hiyo Agathon Rwasa kuwa mgombea wa urais katika uchaguzi mkuu wa Mei mwaka huu . Burundi National Congress for Liberty CNL Rwasa Mei sentence: Chama hicho kilitangaza uteuzi huo Jumapili kupitia ujumbe wa Twitter . Jumapili Twitter sentence: Rwasa , mwenye umri wa miaka 56 , alipigana vita vya wenyewe kwa wenyewe , sawa na rais wa sasa Pierre Nkurunziza , ambaye ametangaza kustaafu na hatashiriki uchaguzi wa mwaka huu . Nkurunziza sentence: Rwasa na Nkurunziza wanatoka jamii ya Hutu , inayopatikana katika mkoa wa Ngozi , Kaskazini mwa Burundi . Ngozi Burundi sentence: Baada ya kuteuliwa , Rwasa , amefutilia mbali kile kinachodaiwa kuwa mipango ya chama kinachotawala kufanya udanganyifu katika hesabu ya kura . sentence: “ Wakati tunajitayarisha kwa uchaguzi mkuu , inastaajabisha kusikia kwamba kuna watu wanafikiria kufanya udanganyifu katika uchaguzi huo … . sentence: Raia wa Burundi hawatawaruhusu hilo kufanyika , ” amesema Rwasa . Burundi sentence: Mwezi Januari , chama kinachotawala cha CNDD - FDD , kilimteua Evariste Ndayishimiye kuwa mgombea wake wa urais . Januari CNDD FDD Ndayishimiye sentence: Ndayishimiye , aliyekuwa generali katika jeshi la nchi hiyo , pamoja na kusimamia idara inayoshughulikia masuala ya jeshi katika ofisi ya rais , alikuwa pia waziri wa mambo ya ndani na usalama . sentence: Juhudi zetu za kufikia maafisa wa serikali kujibu tuhuma za njama ya kufanya udanganyifu katika uchaguzi mkuu , hazikufaulu . sentence: Je , Agathon Rwasa ni nani ? Rwasa sentence: Alizaliwa January 10 1964 katika mkoa wa Ngozi , Burundi . January Ngozi Burundi sentence: Ni mtoto wa 7 katika familia ya watoto 14 . sentence: Alisomea chuo kikuu cha Burundi . chuo kikuu cha Burundi sentence: Alikuwa kiongozi wa chama cha waasi cha National Liberation Forces - FNL Aliongoza kundi la wapiganaji la Hutu wwakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Burundi Alisaini mkataba wa amani na serikali , Septemba 2006 Alichaguliwa kuwa naibu spika wa bunge la Burundi July 2015 Amechaguliwa kuwa mgombea wa urais wa chama cha Congress for national Liberty - CNL Februari 16 2020 Burundi ni mojawapo ya nchi maskini zaidi duniani na mashirika ya msaada yalisitisha msaada wake mwaka 2015 , baada ya kutokea machafuko kufuatia uchaguzi wa mwaka 2015 . National Liberation Forces FNL Burundi Septemba bunge la Burundi July chama cha Congress national Liberty CNL Februari Burundi 2015 2015 sentence: Nchi hiyo inapitia hali mgumu kiuchumi na makovu ya vita vilivyotokea miaka iliyopita . sentence: Tangu mwaka 2015 , rais Nkurunziza alipowania mhula wa tatu madarakani , katika hatua iliyokumbwa na mzozo , mamia ya raia wa Burundi wameripotiwa kuuawa katika makabiliano na maafisa wa usalama . 2015 Burundi sentence: Polisi , maafisa wa usalama na kundi la vijana linalojulikana kama Imbonerakure , linaloungwa mkono na chama kinachotawala , vimeshutumiwa kwa dhuluma hizo , japo serikali imekuwa ikikana madai hayo kila mara . Imbonerakure sentence: Imetayarishwa na Kennes Bwire , VOA , Washington DC Bwire VOA Washington DC sentence: Wanajeshi wa Kenya Alhamisi wamewaua washukiwa wanne wa wapiganaji wa kikundi cha Al - Shabaab na kumkamata mmoja wao baada ya tukio la kushambuliwa basi katika Kaunti ya Lamu . Kenya Alhamisi Al - Shabaab Lamu sentence: Mratibu wa Mkoa wa Pwani John Elungata ametoa ripoti hiyo masaa kadhaa baada ya shambulio la kushitukiza katika eneo la Nyongoro , sehemu maarufu ambayo Al - Shabaab imekuwa ikifanya mashambulizi yanayo lenga abiria katika magari na vyombo vya usalama . Pwani Elungata Nyongoro Al - Shabaab sentence: Watu watatu waliuawa na wengine watatu kujeruhiwa vibaya sana wakati washukiwa wa wapiganaji wa Al - Shabaab waliposhambulia basi lililokuwa linaelekea Lamu kutoka Mombasa . Al - Shabaab Lamu Mombasa sentence: Magaidi hao imefahamika kuwa walikuwa wanajaribu kulazimisha basi lisimame lakini dereva aliongeza mwendo , na hivyo ikawafanya walirushie basi hilo risasi . sentence: Kamishna wa Kaunti Irungu Macharia amesema wale waliouawa na wengine waliojeruhiwa hawajaweza kutambuliwa hadi hivi sasa . Macharia sentence: Timu za maafisa usalama zilipelekwa katika eneo la Nyongoro na maeneo yanayo lizunguka ili kukabiliana na wale waliowashambulia watu hao kwa bunduki . Nyongoro sentence: Shughuli za usafiri zilisitishwa katika barabara ya Lamu - Garsen baada ya mabasi yaliyokuwa yanaelekea Mombasa kutoka Lamu na yale yanayo toka Lamu kwenda Mombasa yalilazimishwa kurudi Kituo cha Polisi cha Witu . Lamu Garsen Mombasa Lamu Lamu Mombasa Witu sentence: Bei za hisa katika masoko ya Ulaya na Asia zimepanda Jumatatu kufuatia habari za kuanza kupunguzwa kwa masharti ya watu kutotoka nje kutokana na kupungua kwa maambukizi ya COVID - 19 . Ulaya Asia Jumatatu sentence: Kwa upande mwengine kupanda kwa Lisa kunatokana na huko Ulaya kuwepo matumaini kwamba mashirika ya ndege yatapata msaada mkubwa wa fedha kunusuru usafiri wa ndege . Ulaya sentence: Kwa mujibu wa shirika la habari la Uingereza Reuters hisa za shirika la ndege la Ujerumani Luftansa zilipanda kwa asilimia 6 . Uingereza Reuters Ujerumani Luftansa sentence: 5 baada ya Waziri wa uchukuzi wa nchi hiyo kusema serikali iko tayari kulisaidia shirika hilo . sentence: Kwa upande wa benki za Ulaya hisa zilipanda kwa asilimia 4 . Ulaya sentence: 1 baada ya benki ya Deutche Ujerumani kutangaza faida kubwa ambayo haikutarajiwa kwa robo ya kwanza ya mwaka 2020 . benki ya Deutche Ujerumani 2020 sentence: Na huko Asia hisa zilipanda baada ya benki ya Japan kutangaza msaada zaidi wa kufufua uchumi kutokana na janga la corona . Asia benki ya Japan sentence: Wakati huohuo serikali ya Iraq imetangaza inatafakari juu ya kupunguza mishahara ya wafanyakazi katika bajeti inayotayarishwa upya kutokana na kupunguka sana kwa bei za mafuta . Iraq sentence: Katika muswada wa awali wa bajeti yake serikali ilikuwa inategemea sana mapato ya mafuta wakati pipa moja lilikuwa linauzwa kwa dola 56 ili kugharimia miradi yake muhimu . sentence: Lakini hii leo bei kwa pipa iko kati ya dola 20 hadi 30 . sentence: Moja wapo ya mapendekezo ya serikali ni kupunguza kwa hadi aslimia 50 ya mishahara ya maafisa wa juu ambapo itaweza kunusuru mamilioni ya dola kulingana na afisa wa serikali aliyezungumza bila ya kutaka kutajwa . sentence: Imetayarishwa na mwandishi wetu , Washington , DC . Washington , DC sentence: Kwa mara nyingine tena maandamano ya wananchi yafanikiwa kuuondoa utawala wa nchi ya kiarabu madarakani . sentence: Safari hii baada ya maandamano ya siku 12 wananchi wa Lebanon wamemlazimisha Waziri Mkuu Saad Al - Hariri kujiuzulu pamoja na serikali yake . Lebanon Al - Hariri sentence: Licha ya mabadiliko hayo waandamanaji wamesema wataendelea na malalamiko yao hadi madai yote yanatekelezwa . sentence: Hali ilivyokuwa Lebanon Maelfu ya Walebnani kutoka kila pembe ya nchi walishuka katika viwanja vikuu vya miji yao usiku kusherehekea ushindi wao wa Jumanne pamoja na kulaani ghasia zilizozuka Beirut muda mfupi kabla ya Waziri Mkuu Msuni Saad Hariri kutanagaza anajiuzulu . Lebanon Jumanne Beirut Hariri sentence: Ghasia hizo zilisababishwa na wafuasi wa kundi la kishia la Hezbollah linaloongozwa na Imam Hassan Nasrallah na kundi la Amal la Nabih Berri . Hezbollah Nasrallah Amal Berri sentence: Wapinzani hao walijaribu kuvunja kambi ya waandamanaji nje ya jengo kuu la serikali na kutia moto baadhi ya mahema yaliokuwepo . sentence: Licha ya ghasia hizo waandamanaji walijitokeza usiku wa Jumanne na kusema wataendelea hadi kupata ushindi kamili . Jumanne sentence: Abdallah Hammoud muandamanaji mjini Beirut akizungumza na shirika la habari la Reuters , amewapongeza waandamanaji kwa ushindi wao . Hammoud Beirut Reuters sentence: Hammoud anaelezea kuwa wananchi wamepata ushindi dhidi ya mabwanyenye wa kisiasa katika nchi hii . sentence: """" Tutaendelea na vuguvugu letu , na uasi wetu , katika mapinduzi yetu ya kuwaondoa wezi wa mali waliolitumbukiza taifa hili katika janga la kiuchumi . sentence: Waziri Mkuu tajiri Hariri akilihutubia taifa hapo Jumanne alisema kwa huzuni kwamba uamuzi wake unatokana na dhamira ya Walebanon wengi walioshuka mitaani wakitaka mabadiliko katika kile alichokieleza maandamano ya kihistoria . Jumanne sentence: Kilio cha wananchi Waziri Mkuu wa lebanon amesema : Nimejaribu mnamo kipindi hichi kusikiliza kilio cha wananchi na kulilinda taifa kutokana na hatari za kiuchumi , kijamii na usalama . lebanon sentence: Lakini leo hii ninasema nimegonga mwamaba . sentence: Wananchi waliokuwa wakisikiliza hotuba hiyo walisherehekea alipotangaza anajiuzulu ikiwa ni mara yake ya tatu kuacha nafasi hiyo . sentence: Kujiuzulu kwa Hariri ni kukaidi wito wa mshirika wake Hezbollah katika serikali ambaye kiongozi wake Nassarallah alionya kwamba nchi itatumbukia katika ghasia . Hezbollah sentence: Wiki iliyopita Hariri alifanya mabadiliko makubwa ya baraza lake la mawaziri na kupendekeza mageuzi ya kiuchumi mambo ambayo hayajawaridhisha waandamanaji wanaotaka kuwaona wanasiasa wote wanaodai ni walaji rushwa wameondolewa na kufanyika mageuzi kamili ya utawala kugawanya madaraka kwa misingi ya kidini . sentence: Waandamanaji kwa ujumla wameridhika na uwamuzi wa Hariri kujiuzulu lakini wanataka viongozi wengine wote waondoke kama anavyoeleza Aya al Amari mwanafunzi wa miaka 19 . al Amari sentence: Aya al - Amari , Mwanafunzi Tunashukuru saad Hariri amejibu matakwa ya wananchi na tuna matumaini wengine watasikiliza maombi ye wananchi na kujiuzulu vile vile . al - Amari Hariri sentence: Hicho ndicho tunachotaka . sentence: Hatutaki ulaji rushwa , na atuwataki . sentence: Tunataka taifa ambalo tunaliamini . sentence: Ufaransa mshirika mkubwa wa Hariri na mtawala wa kikoloni wa taifa hiolo ametowa msaada wa dola bilioni 11 kwa ajili ya maendeleo nakuepusha nchi kutumbukia katika vita vya wenyewe kwa wenyewe mwishoni mwa miaka 1990 . Ufaransa 1990 sentence: Kulingana na katiba Baraza la mawaziri linaendelea na kazi hadi pale wabunge wanafikia makubaliano ya kumchagua waziri mkuu mpya . sentence: Imetayarishwa na mwandishi wetu Abdushakur Aboud , Washington , DC . Aboud Washington , DC sentence: Mataifa ya Ulaya yanapambana na hali ya juu sana ya joto , na kusababisha udhia mkubwa kwa watu wa sehemu ya bara hilo . Ulaya sentence: Katika mji mkuu wa Uingereza - London , kiwango cha joto kimefikia nyuzi joto 37 . Uingereza London sentence: 7 , ikiwa ni kiwango cha juu zaidi kuwahi kurekodiwa kote Uingereza mwezi Julai . Uingereza Julai sentence: Hii ni rekodi ya pili ya juu ya joto tangu Agosti 10 , 2003 , wakati kiwango cha joto kilifikia nyuzi joto 38 . Agosti sentence: 5 katika mji wa Faversham . Faversham sentence: Katika hali ya kukabiliana na joto hilo watu wanakula barafu ili kupunguza joto mwilini na pia kwenda katika maeneo yenye upepo kama vile kando ya mito na bahari . sentence: Kulingana na utabiri wa hali ya hewa , Kiwango cha juu cha joto ulaya , kinatarajiwa kuendelea kwa mda wa miezi mitatu hadi Oktoba . ulaya miezi Oktoba sentence: Kituo cha utabiri wa hali ya hewa nchini Ufaransa kilisema Alhamisi hali ya joto itaongezeka zaidi na kuweka rikodi mpya baadae wiki hii . Ufaransa Alhamisi sentence: Watalii wamekuwa wakimiminika kwenye chemchem ya Trocadero chini ya mnara wa edible Eiffel kujikinga na joto . Trocadero sentence: Hata hivyo kwa mujibu wa utabiri huo joto linatarajiwa kumalizika mapema Ijumaa . Ijumaa sentence: Mwana wa Mfalme Prince Harry na mkewe wamesema katika mahojiano ya pamoja waliofanya na kituo cha televisheni cha ITV wakati wa ziara yao nchini Afrika mapema mwezi Octoba na kurushwa hewani Jumapili , kuwa hawatakubali magazeti ya udaku ya Uingereza kuwaharibia maisha yao . ITV Afrika Octoba Jumapili Uingereza sentence: Prince Harry ameiambia ITV kuwa mengi ya mambo ambayo yanachapishwa katika magazeti ya udaku siyo ya kweli , akiongeza “ sitakubali kuingizwa katika hujuma iliyomuua mama yangu . ITV sentence: ” Harry amesema kumbukumbu ya kifo cha Princess Diana ilikuwa bado ingaliipo kila siku kunavyokucha na sio kwamba yeye mwenye amejawa na hofu … ” Nyota wa zamani wa Televisheni ya Marekani Meghan Markle amesema wakati rafiki zake walikuwa na furaha ya yeye kuwa na mahusiano na Harry , marafiki zake wa Uingereza walimuonya kuwa asiowane na Harry “ kwa sababu magazeti ya udaku ya Uingereza yatamuharibia maisha yake Akizungumza namna anavyoweza kukabiliana na ufuatiliaji mzito wa magazeti haya , Meghan amejibu : Marekani Markle Uingereza Uingereza sentence: “ Ukweli ni kuwa nimekuwa kwa muda mrefu nikimwambia H – hivyo ndivyo ninavyomwita — haitoshi kuwa utanusurika katika jambo , hiyo siyo maana ya maisha . sentence: Inatakiwa upate mafanikio . sentence: Mapema mwezi huu wana wa mfalme hao walifungua mashtaka dhidi ya gazeti la udaku la Uingereza , The Mail on Sunday kwa kuingilia maisha yao ya faragha , akidai kuwa kinyume cha sheria walichapisha barua aliyomuandikia baba yake . Uingereza The Mail on Sunday sentence: Kila wakati , Harry alisema namna wanavyomfanyia Meghan hakuna tofauti na vile magazeti hayo yalivyomfanyia mama yake . sentence: Shirika la ndege la Ethiopian Airlines iliyokuwa ikiruka kutoka Addis Ababa imeanguka muda mfupi baada ya kuruka Jumapili , asubuhi , na kuua watu 157 waliokuwa ndani ya ndege hiyo . Ethiopian Airlines Addis Ababa Jumapili asubuhi sentence: Shirika la habari la serikali ya Ethiopia limesema kuwa ndege hiyo iliyoanguka karibu na mji wa Bishoftu lilikuwa na abiria kutoka nchi 33 . Shirika la habari la serikali ya Ethiopia Bishoftu sentence: Ndege hiyo aina ya Boeing 737 - Max 8 ilikuwa ni ndege mpya , iliyokabidhiwa kwa shirika la ndege la Ethiopia , kwa mujibu wa takwimu za kampuni ya Planespotters Civil aviation . shirika la ndege la Ethiopia Planespotters Civil aviation sentence: Boeing imetoa tamko la mstari mmoja Jumapilli , ikisema kuwa """" Boeing inataarifa za ajali hiyo ya ndege na inafuatilia kwa ukaribu kabisa . Boeing Jumapilli Boeing sentence: Kampuni ya Flightradar inayofuatilia urukaji wa ndege kupitia akaunti yake ya Twitter imesema kuwa """" spidi ya kuruka """" wakati ikiondoka uwanja wa ndege ya ndege hiyo ya Ethiopia """" ilitetereka baada ya kuruka . Flightradar Twitter Ethiopia sentence: Boeing 737 - MAX 8 inafanana na aina ya ndege iliyoruka Oktoba kutoka Jakarta na kuanguka katika Bahari ya Java baada ya dakika chache , na kuua watu wote 189 waliokuwa katika ndege hiyo ya Lion Air . Oktoba Jakarta Bahari ya Java Lion Air sentence: Imetayarishwa na Mwandishi wetu , Washington , DC . Washington , DC sentence: Serikali ya Japan inasema majaribio ya Jumatatu ya makobora yaliyofanywa na Korea kaskazini ni tishio kwa amani na usalama wa Japan na kanda nzima . Japan Jumatatu Korea kaskazini Japan sentence: Wakati dunia nzima ikijaribu kuzuia kusamba kwa virusi vya corona Korea Kaskazini imeanzisha uchokozi kwa kufyetua duru ya pili ya makombora ya masafa ya mbali katika kipindi cha wiki moja hadi leo . Korea Kaskazini sentence: Msemaji wa seikali ya japan Yoshihide Suga amesema hatua hii ya kurudia mara kwa mara kufyetua makombora ni suala tete linaloikumba jumuia ya kimataifa kwa ujumla . japan Suga jumuia ya kimataifa sentence: Jeshi la Korea kaskazini limeeleza kwamba jaribio la leo ni duru mpya ya mazowezi yanayosimamiwa na kiongozi wa Korea kaskazini mwenyewe Kim jong Un . Korea kaskazini Korea kaskazini jong Un sentence: Kesi dhidi ya utawala wa Trump ya madai ya kuzuia uchunguzi inazidi kupamba moto , kama Mwakilishi wa chama cha Democrat Adam Schiff alivyosema . chama cha Democrat Schiff sentence: Kuongezeka kasi kwa kesi hiyo anasema inatokana na wanachama wa ngazi ya juu na mwanasheria wa Trump binafsi , Rudy Giuliani kupuuza hati ya wito juu ya shauri la uchunguzi linalotaka kumuondoa madarakani rais . Giuliani sentence: Ofisi ya makamu wa rais Mike Pence imeuita uchunguzi wa baraza la wawakilishi linalongozwa na wa Democrat , ni utashi wao wenyewe na hati ya kuitwa kujibu maswali ni pana mno . Pence sentence: Wizara ya Ulinzi ya Marekani , Pentagon , pia imesema haina uwezo kutoa ushirikiano kwa muda huu kutokana na sababu za kisheria . Marekani Pentagon sentence: Ofisi ya bajeti ya White House pia imekataa ombi la Baraza hilo , na mwanasheria binafsi wa Rais Trump , Rudy Giuliani pia amekataa kuitika wito wa hati inayomtaka kutoa nyaraka zinazohusiana na juhudi za kuishinikiza Ukraine kumchunguza makamu wa rais wa zamani na mgombea urais wa Democrat hivi sasa , Joe Biden . White House Giuliani Ukraine Democrat Biden sentence: Jioni Jumanne , Mwakilishi wa Baraza la Wawakilishi Michael McCaul , kiongozi wa Republikan katika Kamati ya Mambo ya Nje , amesema uchunguzi wa kumuondoa rais madarakani """" unaoendelea kwa faragha ambapo ilitakiwa ufanyike hadharani . Jumanne Baraza la Wawakilishi McCaul Republikan sentence: """" Namtaka Spika aweke azimio hilo hadharani ili tuendelee katika njia ya uwazi na suala hili hali ya kuwa watu wote wa Marekani wanafahamu kile kinachoendelea kwa sababu mwisho wa siku , ni wao ambao wataathirika na mchakato usiokuwa wa haki , """" McCaul amesema . Marekani sentence: Lakini Schiff amesema Warepublikan wamewakilishwa ipasavyo katika mahojiano hayo ya faragha , akisema wanapewa kila fursa kuwahoji mashahidi na kuona ushahidi . sentence: Those hearings continue Wednesday with testimony from Michael McKinley , a former senior advisor to Secretary of State Mike Pompeo . Wednesday McKinley Pompeo sentence: Mahojiano hayo yanaendelea siku ya Jumatano ambapo Michael McKinley atatoa ushahidi , yeye ni mshauri wa ngazi ya juu wa Waziri wa Mambo ya Nje Mike Pompeo . Jumatano McKinley Pompeo sentence: Wanadiplomasia nchini Tanzania kutoka nchi nane za Umoja wa Ulaya , Ijumaa , wamehoji uamuzi wa kusitishwa kwa muda wa wiki moja chapisho la gazeti la Kiingereza baada ya maafisa wa serikali ya Tanzania kulishutumu limepotosha suala la bei ya kubadilisha fedha za kigeni . Tanzania Umoja wa Ulaya Ijumaa Tanzania sentence: Gazeti la The East African limeripoti kuwa hatua hiyo iliyochukuliwa na serikali ya Tanzania dhidi ya gazeti la 'The Citizen' imekuja wakati malalamiko kwa upande wa wanaounga mkono upinzani na makundi ya taasisi za kiraia yanaongezeka kwa kile wanachosema kuwa ni hatua ya serikali kuua upinzani na kuweka vikwazo kwa waandishi wa habari na wapiganiaji wa haki za binadamu . The East African Tanzania 'The Citizen' sentence: Kauli ya mabalozi nchini Tanzania “ Kwa kawaida , naanza siku yangu kwa kusoma baadhi ya magazeti , likiwemo gazeti lililofungiwa la The Citizen , “ Balozi wa Uingereza nchini Tanzania Sarah Cooke ameandika katika akaunti yake ya Twitter . Tanzania The Citizen Uingereza Tanzania Cooke Twitter sentence: “ Hilo sio sawa , limefungiwa nchini Tanzania kwa siku saba . Tanzania sentence: Je , adhabu inalingana na kosa linalodaiwa kufanyika ? ’ Ujumbe kama huo pia ulikuwa umepostiwa na mabalozi wa Belgium , Denmark , Ujermani , Ireland , Italy , Uholanzi na Sweden , katika kitendo ambacho ni nadra cha kupinga waziwazi kwa pamoja hatua hiyo ya serikali . Belgium Denmark Ujermani Ireland Italy Uholanzi Sweden sentence: “ Vyombo vya habari vinajukumu muhimu katika kuanzisha mijadala ya umma , ” Ubalozi wa Ireland uliandika , na kusema imesikitishwa na uamuzi wa wiki hii kusitisha kwa muda chapisho la The Citizen . Ireland The Citizen sentence: ” Gazeti la Citizen lilikuwa limeshutumiwa kwa kutoa habari za upotoshaji katika habari iliyochapishwa hivi karibuni juu ya kushuka thamani kwa shilingi ya Tanzania . Tanzania sentence: Liliripoti kuwa dola ya Marekani ilikuwa inanuliwa kwa thamani ya Tsh 2 , 415 ukilinganisha na ile ya Benki Kuu ya Tanzania ya 2 , 300 , kwa mujibu wa tafiti iliyofanywa katika maduka ya kubadilisha sarafu za kigeni na mabenki . Marekani Benki Kuu ya Tanzania sentence: Sheria ya Takwimu ya 2017 inapiga marufuku uchapishaji wa habari zozote zinazohusu takwimu zinazopingana na takwimu za serikali , ikiwa ni pamoja na uwezekano wa wale waliochapishwa habari hizo kufungwa jela . 2017 sentence: Wanaomkosoa Magufuli Rais John Magufuli anakabiliwa na ukosoaji unaoendelea kuongezeka kutoka vyama vya upinzani pamoja na makundi ya taasisi za kiraia na jumuiya ya kimataifa kwa kile wanachosema ni ukandamizaji wa haki za binadamu . Magufuli sentence: Kundi la Media rights group , ambao ni waandishi bila ya mipaka , wamesema kuwa kusitishwa kwa muda huko kwa 'The Citizen' “ ni kielelezo tosha cha kuendelea kushuka kwa uhuru wa vyombo vya habari nchini Tanzania tangu Rais John Magufuli achukuwe madaraka . Media rights group 'The Citizen' Tanzania Magufuli sentence: ” Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu ( LHRC ) , taasisi kuu ya haki za binadamu nchini Tanzania , kimesema kusitishwa huko kwa gazeti hilo ni “ muendelezo wa kukandamiza uhuru wa kujieleza na uhuru wa vyombo vya habari nchini Tanzania . Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu LHRC Tanzania Tanzania sentence: Kitengo cha kushughulikia maafa Uturuki kimesema Jumatatu idadi ya waliokufa kufuatia tetemeko la ardhi lenye nguvu imeongezeka kufikia 39 . Uturuki Jumatatu sentence: Takriban watu 4 , 000 , ambao walikuwa wakisaidiwa na mashine za kuchimbia , wamekuwa wakifanya shughuli ya kuchakua kifusi katika baridi ya barafu huko Elazig upande wa mashariki wa nchi hiyo baada ya tetemeko lenye ukubwa wa 6 . Elazig sentence: 8 kilichopiga Ijumaa jioni . Ijumaa sentence: Maafisa wanasema majengo 76 huko Elazig yalianguka na mamia mengine yaliharibika . Elazig sentence: Shirika la habari la Associated Press limeripoti kuwa wafanyakazi wanaotoa msaada wa dharura wamejenga mahema 9 , 500 ili kuweza kuwapatia chakula na malazi watu waliohama makazi yao . Associated Press sentence: Serikali imesema kuwa hadi sasa wamefanikiwa kuwatoa watu 45 kutoka katika kifusi . sentence: Televisheni ya Uturuki imeonyesa mama mmoja , Ayse Yildiz , 35 , na mtoto wake wa kike , 2 , Yusra akiokolewa kutoka katika mabaki ya nyumba iliyokuwa imebomoka huko katika mji wa Elazig . Uturuki Yildiz Elazig sentence: Walikuwa wamekwama ndani ya jengo hilo lililoanguka kwa masaa 28 . sentence: Mwanafunzi katika chuo kikuu cha Syria Mahmud al Osman ameliambia shirika la habari la serikali Anadolu kuwa alitumia mikono yake kumuokoa mwanaume na mwanamke kutoka chini ya kifusi . Syria al Osman Anadolu sentence: Kitengo cha usimamizi wa maafa na huduma za dharura kimesema Zaidi ya watu 1 , 600 walikuwa wamejeruhiwa kutokana na tetemeko hilo , kati yao 13 wakiwa katika hali mbaya wakipata matibabu katika kitengo cha wagonjwa wenye hali mbaya . sentence: Serikali ya Tanzania imekata rufaa kupinga kuachiliwa huru Mkurugenzi Mkuu wa zamani wa Shirika la Utangazaji Tanzania ( TBC ) , Tido Mhando . Tanzania Shirika la Utangazaji Tanzania TBC Mhando sentence: Rufaa hiyo dhidi ya mkurugenzi huyo iliyofunguliwa katika Mahakama Kuu inahusu kosa la matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia serikali hasara ya Sh . sentence: milioni 887 . sentence: 1 . sentence: Wakili wa Serikali Leonard Swai alidai kuwa Jamhuri haijaridhika na hukumu hiyo kwamba pamoja na kwamba mikataba inadaiwa kuwa haikufuata sheria lakini mawakili walilipwa fedha ambayo imesababisha hasara chini ya uongozi wa Mhando . Swai sentence: Rufaa hiyo inasubiri kupangiwa jaji na tarehe ya kusikilizwa . sentence: Wiki iliyopita Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu , Dar es Salaam ilimwachia huru aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania ( TBC ) , Mhando , baada ya kukutikana hana hatia . Kisutu Dar es Salaam Shirika la Utangazaji Tanzania TBC sentence: Hukumu hiyo ilitolewa na Hakimu Mkazi Mkuu , Huruma Shaidi , baada ya upande wa mashtaka kushindwa kuthibitisha mashtaka dhidi yake juu ya matumizi mabaya ya madaraka na kusababishia serikali hasara . Shaidi sentence: Katika utetezi wake Mhando alidai kuwa mchakato mzima wa kuingia ubia wa kuhamisha TBC kutoka katika mfumo wa analojia kwenda digitali ulifanywa na bodi ya TBC . TBC TBC sentence: Mahakama hiyo pia imesema kwamba mkataba anaodaiwa kusaini Tido kinyume cha sheria haukidhi vigezo vya kuitwa mikataba . sentence: Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo imesema watu 27 walifariki kutokana na maambukizi ya Ebola katika jimbo la Kivu Kaskazini Jumapili , ikiwa ni idadi kubwa kuliko zote katika siku moja , na kufanya idadi ya vifo vya maambukizi ndani ya kipindi cha wiki moja kufikia 126 . Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo Kivu Kaskazini Jumapili sentence: Kabla ya vifo vya watu hao 27 Jumapili , idadi ya maambukizi ilikuwa watu 110 , wiki chache zilizopita na wizara ya afya inasema kwamba mlipuko wa wiki iliyopita mashariki mwa nchi , katika mikoa ya kivu na Ituri , unasambaa kwa kasi kutokana na mashambulizi ya makundi ya waasi yanayotatiza juhudi za madaktari na msaada wa jumuiya ya kimataifa . Jumapili kivu Ituri sentence: Katika mahojiano ya simu Dr Jean Christopher Shako , msimamizi wa juhudi za kukabiliana na Ebola mjini Butembo , ameambia Sauti ya Amerika kwamba japo maafisa wake wamejitolea kuangamiza ugonjwa huo , msaada wa jamii wanaotumikia ni mdogo sana , na wengi hawaamini kwamba kuna Ebola . Christopher Shako Butembo Sauti ya Amerika sentence: Anasema kwamba wanafanya kazi kwa matumaini tu . sentence: “ Tunapambana na ugonjwa huo kwa uwezo wetu wote . sentence: Tuna matumaini kwamba utamalizika . sentence: Sote tuwe na imani kwa mungu , tumwombe Mungu tushinde ugonjwa huu ” , amesema DR . sentence: Shako Mashambulizi dhidi ya vituo vya matibabu Vituo vitano vya kutibu wagonjwa wa Ebola vimeshambuliwa katika muda wa miezi miwili iliyopita , huku afisa wa ngazi ya juu wa shirika la afya duniani WHO akiuawa kwa kupigwa risasi na watu wenye silaha , siku 10 zilizopita . shirika la afya duniani WHO sentence: Waliofanya mauaji hayo wanadaiwa kujulikana lakini wanaripotiwa kupewa kinga na makundi ya wapiganaji na watu kutoka katika jamii , wanaopinga juhudi zinazochukuliwa kukabiliana na ugonjwa huo . sentence: Wakaazi wa Butembo kama Issa Misango , wanataka serikali kuonyesha nia ya dhati katika vita dhidi ya ebola . Butembo Misango sentence: “ Huyo daktari aliuwawa na watu gani , wakati kikao alichokuwa anahudhuria kilikuwa kinajulikana na serikali ? sentence: Vyombo vya usalama vilijua kwamba kikao hicho kilikuwa kinafanyika . sentence: Walikuwa wapi ? sentence: Watu wanajiuliza maswali mengi wakitaka kujua waliomua daktari huyo . sentence: Kama ni wapiganaji wa mai mai au ni wale wale walinzi wa jeshi . sentence: Watuambie . sentence: Inakuaje walijua hadi mahali alikuwa amekaa wakati wa mkutano , wakaingia moja kwa moja na kumuua ? ” ameuliza Issa Misango , mkaazi wa Butembo . Misango Butembo sentence: Juhudi za uhamasishaji Idadi kubwa ya watu katika maeneo yenye Ebola , wana imani kwamba Ebola ni fikra tu iliyoanzishwa na kuenezwa na serikali pamoja na jumuiya ya kimataifa . sentence: “ Tumejitwika majukumu kama watu wa kawaida katika jamii , kushirikiana na waandishi wa habari kueneza ujumbe jinsi ya watu kujikinga na maambukizi ya Ebola . sentence: Tunaeneza ujumbe kupitia vyombo vya habari lakini vyombo hivi vinataka kulipwa ili kupasha ujumbe wa afya . sentence: Imebidi tujitoe na kutembelea watu katika makao yao ili kuwaelimisha jinsi ya kuzingatia kanuni za afya , tuweze kuangamiza ugonjwa wa ebola ” , ameeleza Issa Misango . Misango sentence: Vifo kutokana na Ebola Mlipuko wa sasa wa virusi vya Ebola , vinavyosababisha mgonjwa hutapika , kuhara na kutokwa damu , ndio wa pili kwa ukubwa baada ya wa mwaka kati ya 2013 na 2016 uliotokea Afrika magharibi na kuuwa watu 11 , 000 . 2013 2016 Afrika magharibi sentence: Ugonjwa wa ebola unaaminika kuua watu 891 na kuambukiza zaidi ya 500 katika mikoa ya Kivu kaskazini na Ituri nchini DRC . Kivu kaskazini Ituri DRC sentence: Imetayarishwa na Kennes Bwire , Sauti ya Amerika , Washington DC Bwire Sauti ya Amerika Washington DC sentence: Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia masuala ya amani Bintou Keita amesema kwamba Umoja wa Matifa hauna nia ya kuondoka kutoka Libya licha ya mauaji ya wafanyakazi wake watatu Jumapili . Keita Umoja wa Matifa Libya Jumapili sentence: Watu hao waliuawa kutokana na mlipuko wa bomu lililokuwa limetegwa ndani ya gari mjini Benghazi , mashariki ya nchi hiyo . Benghazi sentence: Shambulio hilo la Jumamosi asubuhi limetokea wakati UN inajaribu kutafuta suluhisho la kusitisha mapambano yaliyoanza mwezi Aprili katika mji mkuu wa Tripoli . Jumamosi UN Aprili Tripoli sentence: Mapiganao hayo yalianzishwa na wanamgambo national Army wenye makazi yao mashariki ya nchi ya Libya , yakiongozwa na Jenerali aliyeasi Khalifa Haftar yakiwa na lengo la kuipindua serikali inayotambuliwa na UN , na mpaka sasa mapinduzi hayo hayajafanikiwa . national Army Libya Haftar UN sentence: Baraza la Usalama la UN lilikutana katika kikao cha dharura jana kujadili suala la Libya . UN Libya sentence: Imetayarishwa na mwandishi wetu , Washington , DC . Washington , DC sentence: Roger Stone , mshauri wa kampeni ya uchaguzi wa Rais Donald Trump , amekamatwa na kufunguliwa mashtaka ya makosa kadhaa ya jinai yanayo tokana na uchunguzi unaofanywa na mchunguzi maalum juu ya Russia kuingilia kati uchaguzi mkuu wa Marekani wa mwaka 2016 . Stone Trump Russia Marekani 2016 sentence: Maafisa wa vyombo vya usalama serikali kuu walimkamata Stone mapema siku ya Ijumaa upande wa kusini mashariki mwa Florida baada ya washauri wa mahakama ya serikali kuu kusema kuwa ana kesi ya kujibu juu ya mambo matano ya kutoa matamko ya uongo na kila moja katika hayo ni la kuzuia uchunguzi na kuwashawishi mashahidi kusema uongo . Ijumaa Florida sentence: Stone ataletwa katika mahakama ya serikali kuu huko Fort Lauderdale , Florida , baadae siku ya Ijumaa , ofisi ya Mueller imeeleza . Fort Lauderdale Florida Ijumaa sentence: Stone alikuwa akiangazwa kutokana na kumuunga mkono Trump wakati wa kampeni za uchaguzi wa rais mwaka 2016 , pale alionyesha kuwa anafahamu undani wa udukuzi wa takwimu ambao ungeweza kuwafedhehesha Wademokrat , pamoja na hasimu wa Trump katika kinyang'anyiro cha kuingia White House , Hillary Clinton . 2016 White House Clinton sentence: Waendesha mashtaka wa Marekani , katika kumkuta anakesi ya kujibu , wamesema kuwa Stone alikuwa ametuma na kupokea barua pepe kadhaa na ujumbe wa SMS wakati wa kampeni mwaka 2016 ambapo alijadili taasisi no 1 , mkuu wake , na umiliki wake wa barua pepe zilizo dukuliwa . Marekani 2016 sentence: Nyota mchekeshaji kwenye jukwaa , filamu na televisheni Jerry Stiller amefariki akiwa na umri wa miaka 92 . Stiller sentence: Mwanawe , muigizaji Ben Stiller , amesema baba yake alifariki mapema Jumatatu kutokana na sababu za kawaida . Stiller Jumatatu sentence: Stiller alijipatia umaarufu miaka ya 1960 alipoungana na mkewe Anne Meara katika uchezaji filamu , kuigiza kwenye majukwaa , kushiriki katika matangazo ya biashara na programu za televisheni , likiwemo onyesho la Ed Sullivan . 1960 Meara sentence: Alipata umashuhuri tena miaka ya 1990 alipoigiza michezo ijulikanayo kama Cranky , Frank Costanza katika show ya Seinfeld iliyokuwa ikionyeshwa katika televisheni . 1990 sentence: Fani yake Stiller ilihusisha nafasi alizoigiza katika maonyesho mbalimbali ya Broadway kama vile The Ritz na Hurlyburly , na pia filamu zilizopata umashuhuri Hairspray na Zoolander . Broadway sentence: Imetayarishwa na mwandishi wetu , Washington , DC Washington , DC sentence: Maalim Seif Shariff amesema Jumatatu anaridhia na maamuzi ya Mahakama Kuu kumtambua Ibrahim Lipumba , kuwa ndiye mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF , anayetambuliwa na Msajili wa Vyama vya Siasa . Seif Shariff Jumatatu Lipumba Chama cha Wananchi CUF sentence: “ Leo tumetangaza kujiondoa kwenye CUF tunajiunga rasmi na chama cha ACT Wazalendo , ” amesema Maalim Seif . CUF ACT Wazalendo Seif sentence: Ofisi zote za CUF tumezibadili na sasa zitapeperusha bendera za ACT , ” ameongeza . CUF ACT sentence: Uamuzi wa kujiunga na ACT Maalim Seif amesisitiza kuwa ameamua kujiunga na ACT baada ya kugundua hujuma hiyo ya dola ya kuingilia mhimili wa mahakama . ACT Seif ACT sentence: Kiongozi huyo mkongwe katika siasa amesema kuwa : Tunaona CUF kama mzigo tumekwisha utua . CUF sentence: ” Lakini amedai kuwa kuna ushahidi kwamba nguvu za dola kwa muongozo wa Chama cha Mapinduzi ( CCM ) ilipanga mkakati wa mahakama kufanya uamuzi huu . Chama cha Mapinduzi CCM sentence: “ Kesi hiyo ( iliyoamuliwa ) ina mkono wa dola , Hukumu iliyosomwa leo ilikuwa isomwe Februari 22 , ikaahirishwa mpaka leo , ” amesema Maalim Seif . Februari Seif sentence: Mkakati wa kumsaidia Lipumba Amesema huo ulikuwa mkakati wa kumpa nafasi Lipumba kwanza kubadilisha bodi yake ya uongozi , itambuliwe na pili kufanya mkutano wao feki , na hayo tayari yametekelezwa . sentence: Maalim ametoa mfano wa amri ya mahakama ya Tanzania iliyotolewa kusitisha mkutano huo wa Lipumba , lakini jeshi la polisi lilikwenda kuulinda . Tanzania sentence: Serikali haikuheshimu amri ya mahakama Ameuliza vipi tutasema dola haihusiki , iwapo hata amri ya mahakama haikuheshimiwa . sentence: “ Mahakama kwa maneno ni huru , lakini inaweza kutumika , namna nchi zetu zilivyo na usilinganishe mahakama za Marekani na Tanzania , Amelalamika kuwa suala hili halikuanza leo , mkakati huu ulikuwepo siku nyingi . Marekani Tanzania sentence: Chama cha CCM amedai kuwa kimekuwa kikitumia ofisi za msajili wa vyama vya siasa , Rita na hata bunge , polisi , mahakama na vyombo vingine kuihujumu CUF . CCM Rita CUF sentence: Utawala wa mpito wa Sudan umetangaza Jumanne kwamba utamkabidhi rais wa zamani Omar Al Bashir kwa mahakama ya uhalifu wa kimatiafa ICC . Sudan Jumanne Al Bashir mahakama ya uhalifu wa kimatiafa ICC sentence: Habari za kupelekwa The Hague zimetolewa baada ya mazungumzo katika mji mkuu wa Sudan Kusini , Juba kati ya wajumbe wa serikali ya mpito ya Sudan na makundi ya waasi kutoka jimbo la Darfur . The Hague Sudan Kusini Juba Sudan Darfur sentence: Akizungumza na Sauti ya Amerika , Ahmed Tugod mwakilishi wa kundi la waasi la Vuguvugu la Haki na Usawa , JEM amesema pande zote zimekubaliana kuwakabidhi raia wanne wa Sudan walofunguuliwa mashtaka na ICC akiwemo Bashir . Sauti ya Amerika Tugod Vuguvugu la Haki na Usawa JEM Sudan ICC sentence: Tugod anasema , makubaliano ya kuwakabidhi watu hao haitatekelezwa hadi pale makubaliano kamili ya amani yanafikiwa kati ya pande zote zinazo zozana huko Sudan kufikiwa . Sudan sentence: Anasema wanataraji makubaliano hayo yatafikiwa mnamo wiki chache zijazo . sentence: Rais huyo wa zamani anakabiliwa na mashtaka ya mauwaji ya halaiki , uhalifu wa vita na uhalifu dhidi ya ubinadamu kutokana na vita vilivyotokea katika jimbo la Darfur nchini mwake mnamo mwaka 2003 . Darfur 2003 sentence: Waendesha mashtaka wa ICC mjini The Hague , walitoa hati ya kukamatwa kwa al - Bashir baada ya kutofika mbele ya mahakama hiyo kukabiliwa na mashtaka ya mauwaji ya Darfur . ICC The Hague - Bashir Darfur sentence: Umoja wa Mataifa unasema karibu watu laki tatu waliuliwa na watu milioni 2 na nusu walikoseshwa makazi yao kutokana na vita hivyo . Umoja wa Mataifa sentence: Waziri Mkuu wa Mauritius Pravind Kumar Jugnauth Jumapili alilivunja bunge la nchi hiyo na kusema kwamba kisiwa hicho cha Bahari la Hindi kitafanya uchaguzi mkuu mnamo Novemba 7 . Mauritius Kumar Jugnauth Jumapili Bahari la Hindi Novemba sentence: Nchi hiyo , ambayo ni maarufu kwa utalii na moja wapo ya mataifa imara zaidi barani Afrika , hufanya uchaguzi kila baada ya miaka mitano , na wa mwisho ulifanyika mnamo 2014 . Afrika 2014 sentence: Kisheria , Wananchi wa Mauritius wana kati ya siku 30 hadi 150 kushiriki uchaguzi baada ya waziri mkuu kuvunja bunge . Mauritius sentence: Jugnauth , mwenye umri wa miaka 57 , ambaye pia ni waziri wa Fedha atawania muhula mwingine kama kiongozi wa chama kinachotawala cha MSM . MSM sentence: Amehudumu kama Waziri Mkuu tangu mwaka 2017 wakati alipochukua madaraka kutoka kwa baba yake , Anerood Jugnauth . 2017 Jugnauth sentence: - Imetayarishwa na Mwandishi wetu Washington DC Washington DC sentence: Kiongozi mkuu wa kanisa katolika duniani Papa Francis Jumanne aliwasihi watu kote duniani kuendelea kuheshimu kanuni zilizowekwa ili kujikinga na wimbi jipya la maambukizi ya virus vya corona , wakati viongozi wao wameanza kulegeza hatua kali walizochukua ili kuzuia kuenea kwa virus vya corona . Jumanne sentence: Francis alitoa tamko katika ibada yake ya misa ya kila asubuhi , ambapo huwa anachukua fursa hiyo kutoa maoni kuhusu mada tofauti zinazohusiana na virusi vya Corona . asubuhi sentence: Kuanzia Ulaya , Afrika , Marekani na Asia , viongozi wameanza kukabiliana na mivutano na ukosoaji wa amri walizotoa za watu kubaki majumbani mwao . Ulaya Afrika Marekani Asia sentence: """" Wakati huu ambapo hatua za karantini zimeanza kulegezwa , tumuombe Mungu atupe sote neema yake ili tuwe makini na tuendelee kuheshimu sheria ili janga hili lisirudi tena , """" Papa Francis alisema . sentence: Kiongozi huyo wa kidni mwenyewe amejiweka karantini huku ibada akiziendesha bila ya waumini na zikionyeshwa kupitia mtandao wa internet . sentence: Waziri mkuu wa Italia Giuseppe Conte anapanga kulegeza hatua kali za muda mrefu alizochukua ili kudhibiti mlipuko wa Corona . Italia Conte sentence: Katika awamu ya kwanza , viwanda na sekta ya ujenzi zitafunguliwa kuanzia May 4 , na watu wachache wanaruhusiwa kwenda kuzitembelea familiya zao . May sentence: Italia ni mmoja ya mataifa ya dunia yaliotaabika sana kutokana na janga la Corona . Italia sentence: - Imetayarishwa na Patrick Nduwimana , VOA , Washington DC . Nduwimana VOA Washington DC sentence: Marekani iliibuka mshindi Jumapili katika michuano ya kombe la dunia la wanawake kwa kuwabwaga Waholanzi mabao mawili kwa sufuri kwenye fainali zilizofanyika kenye uwanja wa Stade de Lyon in Lyon , nchini Ufaransa . Marekani Jumapili Stade de Lyon Lyon Ufaransa sentence: Timu ya Marekani , ambayo ilikuwa inatetea taji lake , ilipata bao la kwanza kupitia penalti iliyopigwa na Megan Rapinoe mnamo dakika 61 . Marekani Rapinoe sentence: Bao la pili lilifungwa na mchezaji Rose Lavelle dakika nane baadaye . Lavelle sentence: Rapinoe amekuwa mchezaji wa kwanza mwenye umri wa juu zaidi ( 34 ) kufunga bao kwenye fainali za kombe la Dunia . sentence: Hii ni mara ya nne kwa Marekani kushinda kombe la Dunia la soka ya Wanawake . Marekani sentence: Kipa wa Uholanzi , Sari Van Veenendaal , anasifiwa na wachambuzi wa michezo kwa ustadi wake na jinsi alivyookoa mikwaju mikali iliyopigwa kwelekezwa kwenye wavu aliokuwa akilinda . Uholanzi Van Veenendaal sentence: Michuano hiyo iiliendelea kwa mwezi mmoja tangu tarehe 7 mwezi Juni na ilishirikisha timu 24 kwenye fainali . 7 sentence: Idadi ya vifo kutokana na mlipuko wa virusi vya corona imeongezeka na kufikia 636 akiwemo Daktari Li Wenliang , aliyekuwa wa kwanza kutahadharisha juu ya ugonjwa huu ambaye alikaripiwa na jeshi la polisi nchini China . Wenliang China sentence: Mlipuko huo hadi sasa umeathiri watu zaidi ya elfu 31 , 000 kote duniani , ukisababisha marufuku ya safari na watu kuwekwa katika karantini . sentence: Wakati huo huo Rais wa China Xi Jinping amemwambia Rais wa Marekani Donald Trump kwa njia ya simu kwamba ana uhakika kwamba nchi yake itaweza kudhibiti kirusi corona . China Jinping Marekani Trump sentence: Kifo cha daktari Li Wenliang ambaye alikemewa kwa kutahadharisha kirusi kipya kilichoibuka China kulipelekea salamu za pongezi kutumwa kwa wingi kwake Ijumaa na hasira dhidi ya serikali ya kikomunisti kumiminika kwa kutanguliza siasa kuliko usalama wa umma . Wenliang China Ijumaa sentence: Katika kifo hicho , Dr Li Wenliang amekuwa ni sura ya ghadhabu inayotokota katika jamii juu ya Chama cha Kikomunisti kudhibiti taarifa na malalamiko kuwa maafisa wanasema uongo au kuficha milipuko ya magonjwa , kusambaa kwa kemikali , bidhaa hatari zinazouzwa kwa wateja na wizi wa fedha . Wenliang Chama cha Kikomunisti sentence: Daktari huyo mwenye umri wa miaka 34 amekufa usiku wa Alhamisi katika Hospitali ya Kati ya Wuhan , ambako alifanya kazi na inawezekana ndiko alikopata kirusi wakati akiwatibu wagonjwa siku za awali za mlipuko huo . Alhamisi Wuhan sentence: Wakati ambapo China na raia wake wanaomboleza na kumtaja kama shujaa daktari aliyekuwa mstari wa mbele kufichua mlipuko wa corona . China sentence: Dr . sentence: Li Wenliang ni miongoni mwa waliokufa . Wenliang sentence: Daktari huyo alifanya kazi katika kituo cha mlipuko wa ugonjwa huo – Wuhan , alithibitisha kwenye mitandao ya kijamii wiki iliyopita kwamba alikuwa na kirusi corona . Wuhan sentence: Watu wanatoa rambirambi zao katika mitandao na mitaa ya Beijing . Beijing sentence: Baadhi yao wanasema ameonyesha mfano bora kwenye jumuiya , akiwa mkweli na mwaminifu . sentence: vyombo vya habari vya taifa la China ijumaa vimeripoti kwamba uchunguzi utafanywa kufuatia kesi ya Dr . China sentence: Li . sentence: Watengenezaji filamu na wanaharakati wa haki za kiraia Tanzania , wameulalamikia mswada unaopendekeza mabadiliko ya sheria zinazosimamia sekta ya filamu na michezo nchini humo . Tanzania sentence: Marekebisho ya mswada huo yanamtaka mtu yeyote au kampuni inayotengeneza filamu , kuwasilisha kanda zote zilizorekodiwa kwa bodi ya filamu kabla ya kufanya uhariri . sentence: Mswada wa mabadiliko ya sheria namba 3 mwaka 2019 Tanzania kuhusu sekta ya filamu , unaotarajiwa kuasilishwa bungeni alhamisi hii kwa mjadala , unataka kampuni au mtu yoyote anayetengeneza filamu , matangazo ya biashara au Makala maalum , kwa kutumia picha za ndani ya Tanzania ni lazima aasilishe kanda zote zilizorekodiwa kwa bodi ya filamu kabla ya uhariri . 2019 Tanzania alhamisi Tanzania sentence: Wahusika wanahitajika kuambatanisha maelezo kuhusu sehemu zote walizorekodi kwenye video wakati wanapowasilisha video hizo kabla ya uhariri . sentence: Wanahitajika pia kuasilisha nakala ya mwisho ya kazi yao ilimradi wametumia picha au video kuihusu Tanzania . Tanzania sentence: Wasanii , watengenezaji wa filamu na mashirika ya kutetea haki za kibinadamu kama vile Amnesty international , wanasema mswada huo una nia mbaya , lengo kubwa likiwa kukandamiza haki za kujieleza na kuchuja taarifa ambazo serikali inahisi zinachafua picha yake . Amnesty international sentence: Daniel Nyalusi ni mtengenezaji filamu Tanzania . Nyalusi Tanzania sentence: Amesema ; “ mtengenezaji filamu ni kama mwandishi wa habari . sentence: Mwandishi wa habari huandika habari za upekuzi , zinazohitaji usiri katika maandalizi yake . sentence: Kuna baadhi ya filamu tunazozitengeneza zinazohitaji usiri mkubwa katika maandalizi yake . sentence: Ameongeza : """" Unaweza ukatengeneza filamu inayoelezea jambo fulani katika jamii lakini kuna vitu Fulani kwanza unavificha . sentence: Ukisema maafisa wa serikali wakae chini waanze kutazama video zako kabla ya kuandaa , mfano rushwa , hawakuzuia kuandaa filamu yako ” . sentence: Mswada huo tayari umewasilishwa kwa kamati ya bunge ya katiba na sheria kwa hati ya dharura . sentence: Watengenezaji wa filamu vile vile wanatakiwa kutoa hati miliki kwa serikali ya Tanzania , kutumia filamu zao kwa ajili ya utalii , na keuelezea raslimali zingine za Tanzania katika vyombo vya habari ikiwemo kimataifa bila malipo kwa mtengenezaji , ilimradi jina la washiriki kwenye filamu na wanaoandaa wanatajwa . Tanzania Tanzania sentence: Wadau hao wa filamu wameutaja kama mswada potofu ambao waandalizi wake hawana ufahamu jinsi ya kazi ya filamu inavyotengenezwa , wakitaka mjadala kati yao na maafisa wa serikali kabla ya kupitishwa . sentence: “ nadhani kitu ambacho kinajaribu kulindwa na ambacho name naweza nikaunga mkono , ni utamaduni wetu kama watanzania . sentence: utamaduni wetu ni vigumu sana kutengeneza filamu za ushoga kwa mfano . sentence: Lakini kama sheria hii inalenga kuzuia ukweli kuzungumzwa , basi ni tatizo kubwa ” ameongezea Nyalusi . sentence: Atakayekiuka sheria , endapo itapitishwa , atatozwa faini ya aslimia 5 ya gharama yote aliyotumia kutengeneza filamu . sentence: Sheria hii vile vile inawahusu watengenezaji wa filamu kutoka nchi zingine wanaotaka kufanya kazi yao nchini Tanzania . Tanzania sentence: Mswada unatarajiwa kuwasilishwa bungeni kwa mjadala , Alhamisi Juni 27 wiki hii . Alhamisi sentence: Imetayarishwa na Mwendishi wetu Kennes Bwire , Washington DC Bwire Washington DC sentence: Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Jimbo la Shinyanga Mjini ( CCM ) , Stephen Masele , ameeleza Jumamosi msimamo wake juu ya kashfa inayomkabili Rais wa Bunge la Afrika , Roger Dang , huku akiwashukuru Watanzania na waafrika wanaomuunga mkono . Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Shinyanga Mjini CCM Masele Jumamosi Bunge la Afrika Dang sentence: Mbunge huyo ambaye ni Makamu wa Rais wa Bunge la Afrika ( PAP ) , alikuwa ameshiriki katika uchunguzi wa tuhuma za rushwa ya ngono dhidi ya Rais wa Bunge hilo raia wa Cameroon . Bunge la Afrika PAP Cameroon sentence: Madai ya Spika Ndugai Alhamisi , Spika Ndugai , alitangaza bungeni kusitisha uwakilishi wa Mbunge Masele ( CCM ) katika Bunge la Afrika ( PAP ) kutokana na tuhuma za utovu wa nidhamu . Alhamisi CCM Bunge la Afrika PAP sentence: Vyanzo vya habari nchini Tanzania vimesema Masele amesema : “ Rais anatakiwa apishe ili uchunguzi uweze kufanyika . Tanzania sentence: Ni uchunguzi ambao umekuja na ushahidi ambao umethibitisha kwamba amefanya hivyo na yeye mwenyewe amekiri amefanya , ameomba msamaha , lakini haitoshi lazima uchunguzi zaidi ufanyike ili kukomesha tabia hii . sentence: ” “ Wewe Rais wa Bunge unatumia mamlaka yako vibaya kumwandikia Spika wa Bunge la Tanzania kwamba nirudi nyumbani , mimi sirudi kwasababu sikuchaguliwa na wewe , hawa waheshimiwa wabunge ndio walinichagua na ndio wenye mamlaka ya kuniondoa , ” Mbunge huyo alisisitiza . Bunge la Tanzania sentence: Masele kuendelea kusimamia haki Masele kwenye ukurasa wake wa Twitter Ijumaa aliandika ataendelea kusimamia haki , ukweli na uadilifu bila woga hadi kieleweke . Twitter Ijumaa sentence: “ Nawashukuru wote kwa kuniunga mkono nitasimamia haki , mimi ni baba wa mtoto mmoja wa kike siwezi kuvumilia hali hii nawaomba wenzangu wote tupige kelele kuhusu unyanyasaji wa kingono kuanzia shuleni , sehemu za kazi na kwenye jamii tunazoishi na duniani kote , ” alisema Masele . sentence: Masele alipongeza ushujaa wa wote ambao walijitolea kutoa maelezo kuhusu unyanyasaji uliyokuwa unafanywa na Rais huyo wa Bunge la Afrika na kuwataka wengine kuiga mfano huo . Bunge la Afrika sentence: Ujumbe wa Video Kupitia ujumbe wa video fupi iliyosambaa mitandaoni wakati Masele akihojiwa kuhusu tuhuma zinazomkabili Rais wa PAP , alisema amefurahi baada ya kamati ya uchunguzi iliyoundwa na Bunge hilo kuchunguza tuhuma hizo zinazomkabili Rais kukamilisha kazi yake . PAP sentence: “ Mimi kama mkuu wa utawala na wafanyakazi wote nina wajibu wa kuhakikisha kwamba hali za wafanyakazi hususan wanawake ambao wanamtuhumu Rais kuwanyanyasa kijinsia , kingono , utafiti unaonyesha kwamba Rais anakesi ya kujibu hivyo tutaikabidhi Umoja wa Afrika kwa ajili ya uchunguzi wa kina , ” alisema . Umoja wa Afrika sentence: Serikali ya awamu ya nne Masele , katika serikali ya awamu ya nne , alikuwa Naibu Waziri wa Nishati na Madini na baadaye Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais ( Mazingira ) , kwa sasa ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa PAP . PAP sentence: Kutokana na uamuzi huo wa Spika Ndugai , Masele ambaye kwa sasa yuko nchini Afrika Kusini kwenye vikao vya PAP , ametakiwa kurejea nchini ili kuhojiwa na Kamati ya Haki , Maadili na Madaraka ya Bunge huku akidokeza kuwa hata Kamati ya Maadili ya Chama Cha Mapinduzi ( CCM ) nayo itamhoji . Afrika Kusini PAP Chama Cha Mapinduzi CCM sentence: Tuhuma zaidi za Spika Ndugai Ndugai alisema katika uwakilishi wa Masele kwenye Bunge hilo la Afrika , kumejitokeza matatizo makubwa ya kinidhamu . Ndugai Afrika sentence: “ Nisingependa kuyafafanua leo ( juzi ) muda hautoshi . sentence: Tumelazimika kumtafuta Masele kumrudisha nyumbani kuanzia Jumatatu , badala yake amekuwa akionyesha kugoma . Jumatatu sentence: Hata jana ( Jumatano ) kwenye Bunge hilo tumeona 'clips' zilionyesha akihutubia Bunge hilo japo ameitwa na Spika . Jumatano sentence: """" Baada ya kumwandikia arudi nyumbani , aje ahudhurie kwenye Kamati ya Maadili , akahutubia Bunge akisema japo ameitwa na Spika , ameambiwa na Waziri Mkuu akaidi wito wa Spika , aendelee na mambo yake kule , kitu ambacho ni uongo na kuidhalilisha nchi , """" alisema . sentence: Kiongozi huyo wa Bunge la Tanzania alidai Masele ni kiongozi ambaye amekuwa akifanya mambo ya ovyo ovyo ndiyo maana ameitwa kwenye Kamati ya Maadili . Bunge la Tanzania sentence: """" Tumemwita aje atufafanulie , huenda yuko sahihi , lakini kwa mtazamo wetu , tunaona anafanya mambo ya hatari ikiwamo kugonganisha mihimili , """" Ndugai alisema . sentence: """" Amekuwa akipeleka mhimili wa juu kabisa wa serikali maneno mengi ya uongo na kudhalilisha Bunge na ushahidi upo . sentence: Ni kiongozi ambaye amejisahau , sijui anatafuta kitu gani . sentence: """" Hizo vurugu ambazo anazionyesha kwenye Bunge lake huko , sisi hazituhusu sana . sentence: Tumemwita aje kwa mambo ya hapa nyumbani ya utovu wa nidhamu . sentence: Spika amwandikia Rais wa PAP """" Kwa kuwa tumekuwa tukimwita hapa nyumbani tangu Jumatatu hataki kurudi , nimemwandikia barua Rais wa PAP ya kusitisha uwakilishi wa Stephen Masele katika Bunge la PAP hadi hapo Kamati ya Haki , Maadili na Madaraka ya Bunge itakapokamilisha uchunguzi na tuhuma dhidi yake . PAP Jumatatu PAP Masele PAP sentence: Kwa upande wake Mbunge wa Iringa Mjini , Peter Msigwa ( Chadema ) , amehoji nafasi ya wabunge wanaochaguliwa na Bunge kuliwakilisha katika mabunge mengine duniani , kusimamishwa na Kiti cha Spika bila uamuzi huo kujadiliwa na waliowachagua . Iringa Mjini Msigwa Chadema sentence: Baada ya kumalizika kwa kipindi cha 'Maswali' bungeni jijini Dodoma , Ijumaa , mbunge huyo alisimama na kuomba mwongozo kwa Mwenyekiti wa Bunge , Andrew Chenge aliyekuwa anaongoza kikao , akihoji uhalali wa Kiti cha Spika kuwasimamishwa wawakilishi waliochaguliwa na chombo hicho cha kutunga sheria . Dodoma Ijumaa Chenge sentence: Mbunge Msigwa ahoji """" Uhalali unatoka wapi na hawa hawakuteuliwa , wamechaguliwa ? sentence: Na nilitaka kujua anasimamishwa na kiti bila kujadiliwa , inatuchafua kama taifa . sentence: Bunge litakuwa na nguvu gani ya kuwalinda hawa tunaowachagua ? """" sentence: Msigwa alihoji . sentence: Mbunge huyo alisema ameona ahoji kuhusu suala hilo baada ya juzi Spika wa Bunge , Job Ndugai , kutangaza kusimamisha uwakilishi wa Mbunge wa Shinyanga Mjini , Stephen Masele ( CCM ) katika Bunge la Afrika ( PAP ) akimtuhumu kwa utovu wa nidhamu . Ndugai Shinyanga Mjini Masele CCM Bunge la Afrika PAP sentence: Akimjibu Msigwa , Mwenyekiti wa Bunge , Chenge , alimtaka mbunge huyo kutowahisha hoja kwa kueleza kuwa tayari Spika Ndugai amelitolea uamuzi suala hilo . sentence: Kauli ya Chenge Chenge ambaye aliwahi kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali , aliwataka wabunge kusubiri hadi taarifa ya suala hilo itakapowasilishwa bungeni na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Haki , Maadili na Madaraka ya Bunge na watakuwa na nafasi ya kujadili . Chenge sentence: Alisema kwa sasa milango bado haijafungwa kwao kulijadili suala hilo , lakini ni lazima taratibu za uendeshaji wa shughuli za Bunge zifuatwe . sentence: Katika taarifa yake ya juzi bungeni , Spika Ndugai alimtaka Masele ambaye ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa PAP , kurejea nchini kutoka Afrika Kusini anakohudhuria vikao vya PAP , ili kuhojiwa na Kamati ya Bunge ya Haki , Maadili na Madaraka ya Bunge . PAP Afrika Kusini PAP sentence: Kiongozi huyo wa Bunge la Tanzania pia alieleza kuwa baada ya kumalizana na kamati ya Bunge , Masele pia atahojiwa na Kamati ya Maadili ya Chama Cha Mapinduzi ( CCM ) kutokana na tuhuma za utovu wa nidhamu . Bunge la Tanzania Chama Cha Mapinduzi CCM sentence: Matokeo hayo yatapunguza uwezo wa Tshisekedi kutekeleza ahadi zake za kampeni na kuvunja miaka 18 ya enzi za Kabila na kuzusha khofu kwamba ushindi wake uliotangazwa Alhamis ni wa kupanga Ushirika wa chama tawala cha Rais wa jamhuri ya kidemokrasi ya Congo - DRC anayeondoka madarakani Joseph Kabila umeshinda viti vingi bungeni katika uchaguzi wa Disemba 30 mwaka jana ofisa mmoja wa ushirika alieleza Jumamosi licha ya ushindi wa kiongozi wa upinzani Felix Tshisekedi katika kura ya urais miaka Alhamis jamhuri ya kidemokrasi ya Congo DRC Kabila Disemba Jumamosi Tshisekedi sentence: iliyofanyika siku hiyo hiyo . sentence: Kwa mujibu wa shirika la habari la Reuters matokeo hayo yatapunguza uwezo wa Tshisekedi kutekeleza ahadi zake za kampeni na kuvunja miaka 18 ya enzi za Kabila na kuzusha khofu kwamba ushindi wake uliotangazwa Alhamis ni wa kupanga ambapo utahifadhi ushawishi wa Kabila kwenye wizara muhimu na vikosi vya usalama . Reuters Alhamis sentence: Rais Kabila anatarajiwa kuondoka madarakani katika siku chache zijazo katika kile kinachoelezewa kuwa makabidhiano ya kwanza ya madaraka nchini Congo kwa njia ya demokrasia tangu nchi hiyo ipate uhuru . Congo sentence: Maandamano yamendelea kwa siku ya 16 mfululizo Jumatano ingawa waandamanaji walikuwa wachache kabisa katika miji kadhaa ya hapa Marekani huku juhudi zikiendelea kujaribu kuleta mabadiliko katika mfumo wa sheria na polisi . Jumatano Marekani sentence: Kwa upande mwngine watu wamekuwa wakivunja sanamu na alama zote zinazowakilisha ubaguzi wa rangi na ukoloni hapa Marekani na hata Ulaya . Marekani Ulaya sentence: Wakati maandamano yakiwa yamepungua sana kasi hapa Marekani waandamanaji Jumatano waliendelea kubomboa , kuharibu na kuvunja vichwa vya sanamu ya Christopher Columbus kuanzia miji ya Boston upande wa kaskazini hadi Miami huko kusini . Marekani Jumatano Columbus Boston Miami sentence: Vitendo hivyo viliambatana wito wa kuondolewa alama zote zinazowakilisha wakoloni na wamiliki utumwa baada ya maandamano yaliyochochewa na kifo cha George Floyd wiki tatu zilizopita . Floyd sentence: Spika wa Baraza la Wawakilishi Nancy Pelosi ametaka kuondolewa kwa sanamu kubwa 11 za wanajeshi na maafisa wa enzi ya vita vya wenyewe kwa wenyewe hapa Marekani mwaka 1861 hadi 1865 . Baraza la Wawakilishi Pelosi Marekani 1861 1865 sentence: Wito wake umetolewa wakati bunge lilikuwa linasikiliza pia mapendekezo ya mageuzi katika vikosi vya polisi ambapo kaka yake George Floyd , Philonise amewarai wabunge kusikia kilio cha wananchi cha kutaka mageuzi . Floyd sentence: Philonise Floyd """" Tafadhali sikilizeni wito ninaotoa hapa , wito wa familia zetu , wito unaosikika barabarani kote duniani . Floyd sentence: Watu wa tabaka zote , jinsia zote na rangi zote wameungana kuomba mageuzi , """" amesema Philonise . sentence: Juhudi za kondowa alama za ukoloni na ubaguzi zimefanyika katika nchi kadhaa za dunia huko Nairobi Kenya sanamu ya malkia Victoria imebomolewa na Samuel Obiero mkazi wa mji huo anasema sanamu hizi za kikoloni zinabidi kuondolewa kote duniani . Nairobi Kenya Obiero sentence: Samuel Obiero Mkazi wa Nairobi anaeleza : Sanamu hii inanikumbusha machungu na tabu zilizo wakumba mababu zetu chini ya mikono ya wakoloni na kila mara tunapozitizama tunakumbushwa maovu waliotendewa . Obiero Nairobi sentence: Ndio maana tunahitaji kuziondowa kote duniani . sentence: Masanamu yameondolewa pia , Uholanzi , Ubelgiji na Uingereza ambapo pia kuna majadiliano juu ya kuondolewa sanamu mbalimbali zinazo kumbusha enzi za ukoloni na utumwa . Uholanzi Ubelgiji Uingereza sentence: Huko Palestina kwenye Ukingo wa Magharibi katika mji wa Bethlehem mchoraji asiyejulikana amechora picha kubwa ya George Floyd kwenye ukuta unaowatengenisha na Israel . Palestina Bethlehem Floyd Israel sentence: Kwa Wapelstina wengi kama Hani Al - Halabi mjumbe wa chama cha vijana wa Palestina , kifo cha Floyd kinawakumbusha vita vyao vya uhuru . Al - Halabi chama cha vijana wa Palestina sentence: Al - Halabi , Mwanachama wa chama cha vijana wa Palestina amesema : """" Tunatoa wito kwa taasisi za kimataifa , mashirika ya haki za binadamu na nchi zote huru kutoa heshima zao kwa George Floyd na Mpalestina Iyad Hallak na kuwachukulia ni mashujaa wa kupigania uhuru na ubinadamu katika kiwango cha kimataifa . - Halabi chama cha vijana wa Palestina Floyd Hallak sentence: Kwa upande wake Rais Donald Trump amepanga kukutana na viongozi wa kidini , maafisa wa Polisi na wamiliki wa biashara ndogo ndogo hii leo Alhamisi huko Dallas wakati anatafakari juu ya namna ya kujibu matakwa ya waandamanaji yaliyofuatia kifo cha George Floyd . Trump Alhamisi Dallas Floyd sentence: Imetayarishwa na Mwandishi wetu , Abdushakur Aboud , Washington , DC Aboud Washington , DC sentence: Waziri wa Ulinzi wa Burkina Faso Moumina Cherif Sy anasema idadi ya waliouliwa kutokana na shambuliao la kigaidi karibu na mgodi wa dhahabu imefikia 38 na wengine 63 wamejeruhiwa . Burkina Faso Cherif Sy sentence: Waziri Sy aliyetembelea eneo shambulio lilitokea katika jimbo la mashariki ya mji mkuu wa Wagadougou anasema maafisa wa uokozi wangali wanawatafuta wachimba migodi wengine ambao bado hawajulikani walipo . Wagadougou sentence: Kampuni ya Canada ya Semafo inayosimamia kazi za mgodi huo imeeleza Ijumaa kwamba mabasi yake matano yaliyo kuwa yanawasafirisha wafanyakazi kuelekea kazini yalishambuliwa na wanamgambo wasiojulikana wa makundi ya wafuasi wa itikadi kali za Kiislamu yanayoendesha shughuli zake kaskazini na mashariki ya Burkina Faso . Canada Semafo Ijumaa Burkina Faso sentence: Taifa hilo la Afrika Magharibi linalofahamika kwa utulivu wake limekuwa likipambana na mashambulizi ya kigaidi yaliyowasababisha maelfu ya watu kukimbia makazi yao tangu mwanzoni mwa mwaka huu kulingana na mashirika ya kimataifa ya huduma za dharura . Afrika Magharibi sentence: Africa Kusini inafanya tathmini juu ya vifo vilivyotokea katika wiki ya vurugu dhidi ya wahamiaji , ambapo vyombo vya usalama vinasema watu kumi waliuawa , na wengine wengi kujeruhiwa na kusababisha taharuki baina yake na nchi nyingine za Afrika . Africa Kusini Afrika sentence: Vurugu hizo nchini Afrika Kusini zilionekana kupungua Alhamisi , wakati polisi wa kulinda doria walikuwa wamepelekwa kufanya ulinzi mkali katika miji hiyo . Afrika Kusini Alhamisi sentence: Wakati huohuo , baadhi ya wahamiaji walieleza wasiwasi wao juu ya kuendelea kuishi nchini humo . sentence: Ofisi za ubalozi wa Afrika Kusini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo zimekumbwa na vurugu , na huko Nigeria , vyombo vya usalama vinalinda doria katika eneo la ubalozi wa Afrika Kusini na biashara zinazomilikiwa na wananchi wa Afrika Kusini kufuatia maandamano na vitendo vya ulipizaji kisasi dhidi ya mashambulizi ya wananchi wa kigeni Afrika Kusini . Afrika Kusini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Nigeria Afrika Kusini Afrika Kusini Afrika Kusini sentence: Katika hotuba yake Alhamisi , Rais Cyril Ramaphosa alilaani mashambulizi hayo yaliyoanza Jumapili , yaliohamasishwa na madereva wa magari makubwa na wengine ambao wanashikilia kuwa wahamiaji wamechukua fursa za kazi katika nchi yao . Alhamisi Ramaphosa Jumapili sentence: “ Hakuna kiwango cha hasira na manunguniko yanaweza kuhalalisha vitendo vya uharibu wa makusudi na uhalifu . sentence: Hakuna namna yoyote ya kuhalalisha mashambulizi haya katika makazi na biashara za raia hawa wa kigeni , kama ilivyokuwa hakuna udhuru wa namna yoyote unaokubalika kwa chuki dhidi ya wahamiaji au aina yoyoe ya kukosekana kuvumiliana , ” amesema Rais . sentence: Ramaphosa amesema kuwa zaidi ya watu 400 walikamatwa upande wa kaskazini mashariki ya jimbo la Gauteng , ambako jiji la Johannesburg na mji mkuu , Pretoria ndiko ilipo . Gauteng Johannesburg Pretoria sentence: Mchezaji maarufu wa mpira wa vikapu Kobe Bryant ameaga dunia kufuatia ajali ya helikopta karibu na mji mdogo wa Calabasas katika jimbo la California . Bryant Calabasas California sentence: No media source currently available Bryant ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 41 . sentence: Maafisa wa Los Angeles wamethibitisha kuwa miongoni mwa waliofariki katika ajali hiyo ni binti yake Kobe , Gianna , aliyekuwa na umri wa miaka 13 . Los Angeles sentence: Jumla ya watu tisa walikuwemo katika helikopta hiyo na hakuna aliyenusurika . sentence: Kulingana na vyombo vya habari Marekani ndege hiyo iliwaka moto kabla ya kuanguka , saa nne asubuhi saa za Marekani . Marekani asubuhi Marekani sentence: Ripoti zinasema kwamba kulikuwa na ukungu mzito katika sehemu ajali ilitokea , karibu na milima ya Calabasas . Calabasas sentence: Bryant alipata umaarufu sana kwa miongo miwili , akichezea timu ya Los Angeles Lakers , aliyoisaidia kushinda ligi ya basketball mara tano na kucheza michezo mikubwa sana 18 kabla ya kustaafu baada ya msimu wa mwaka 2016 . Los Angeles Lakers 2016 sentence: Kifo chake kinajiri saa chache baada ya kumtumia ujumbe wa twitter mchezaji maarufu wa basketiboli anayechezea Lakers , Le Bron James , akimsifia kwa kuvunja rekodi ya ufungaji na kumwondoa Kobe Bryant katika nafasi ya tatu ya wafungaji bora . Lakers Bron James Bryant sentence: Bryant , aliyejulikana kama ‘black mamba’ alitarajiwa kutangazwa kuwa miongoni mwa wachezaji mashuhuri sana wa mchezo wa basketiboli katika kumbukumbu ya Naismith , mwezi ujao , tuzo ya juu kabisa kwa wachezaji nchini marekani . marekani sentence: Kutwa nzima Jumapili wachezaji wa sasa na wa zamani wa basketball nchini Marekani kuanzia Kareem AbdulJabbar , Michael Jordan , LeBron James na Shaquel O'neal ambaye alikuwa timu moja na Kobe , pamoja na makocha wa mchezo huo wamekuwa wakitoa rambi rambi . Jumapili Marekani AbdulJabbar Jordan James O'neal sentence: Rais wa zamani wa Marekani Barack Obama na Rais wa sasa Donald Trump pia walikuwa miongoni mwa watu waliotoa rambi rambi zao Jumapili . Marekani Obama Trump Jumapili sentence: Nyota huyo mara 18 wa mchezo wa basketiboli , anatambuliwa sana kama mmoja wa wachezaji wazuri sana wa mchezo huo duniani . sentence: Alichaguliwa mwaka 2008 kama mchezaji wa bora wa msimu na baadaye kushinda dhahabu mbili , akichezea timu ya Marekani katika michezo ya Olimpiki . 2008 Marekani sentence: Alishinda tuzo baada ya kutengeneza filamu fupi iliyopewa jina “ dear basketball ” , iliyoangazia shairi alilotunga kabla ya kustaafu mwaka 2016 . 2016 sentence: Ameacha mke – Venessa na watoto wasichana watatu Natalia , Bianca na Capri . sentence: - Imetayarishwa na mwandishi wetu Kennes Bwire Washington DC Bwire Washington DC sentence: Kwa Sauti ya Amerika ( VOA ) mtendaji mkuu wa habari ambaye alifanya maamuzi mazito , habari ya kipekee na ilikuwa si ya kawaida kuiacha ipite tu . Sauti ya Amerika VOA sentence: Siku 10 tu baada ya mashambulizi ya Septemba 11 nchini Marekani ambayo yaliua Wamarekani 2 , 977 na kujeruhi wengine kadhaa , mshirika wa karibu sana wa Osama bin Laden na mlinzi wake nchini Afghanistan , kiongozi Mullah Omar - - alifanya mahojiano maalum na Idhaa ya Pashto ya VOA . Septemba Marekani bin Laden Afghanistan Omar VOA sentence: Myrna Whitworth , kaimu mkurugenzi wa Sauti ya Amerika wakati huo , aliwatuma waandishi wawili wa habari kufanya mahojiano kwa njia ya simu na kiongozi wa Taliban ambaye alimruhusu bin Laden , mpangaji mkuu wa mashambulizi ya 9 / 11 , kuwa na makazi nchini Afghanistan . Whitworth Sauti ya Amerika Taliban Laden 9 Afghanistan sentence: Lakini maafisa wa utawala wa Bush “ waliheshimu haki ya shirika hili kuripoti bila ya upendeleo , ” maafisa hawakutaka VOA ifanye “ mambo ambayo tulidhani yatakuwa ni faraja kwa adui , ” Richard Boucher , msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wakati huo , alisema katika mahojiano ya karibuni . VOA Boucher sentence: VOA , ambayo inafadhiliwa na serikali kuu , ni shirika la kimataifa la utangazaji , linatoa huduma kupitia zaidi ya lugha 40 kwa watu karibu milioni 280 kwa wiki . VOA sentence: Lina historia ambayo inaanzia tangu vita vya pili vya dunia na ina mamlaka kutoka katika bunge kuripoti habari kwa kina bila ya kuelemea upande wowote . sentence: Lakini mivutano kati ya White House na VOA imekuwa ni jambo la kawaida kwa miongo kadhaa , kiasi kikubwa kwa sababu ya hali isiyo ya kawaida ya kuwa na uhuru kiasi - na mara nyingine kutumia nguvu zaidi - shirika hili la habari linafanya kazi ndani ya himaya kubwa ya urasimu wa serikali kuu . White House VOA sentence: Mwezi uliopita , Rais Donald Trump aliungana na baadhi ya viongozi waliomtangulia ambao walielezea kutopendezwa na ripoti za VOA - - lakini kwa nguvu isiyo ya kawaida na uchangamfu . Trump VOA sentence: “ Kama ungesikia kile ambacho kinatoka Sauti ya Amerika , kinachukiza . Sauti ya Amerika sentence: Mambo , ambayo wanasema yanachukiza kwa nchi yetu , ” Trump amesema wakati akiongea na wana habari kuhusu virusi vya corona kwenye eneo la Rose Garden mnamo April 15 . Rose Garden April sentence: Malalamiko ya Trump kimsingi yalihusu masuala mawili : Kwanza , kwamba VOA ilitumia takwimu zisizo za kweli za China kuhusu maambukizi ya virusi vya corona na vifo nchini China katika ripoti zake - - shutuma ambazo zimepingwa vikali na taasisi ya habari . VOA China China sentence: Pili , rais alikuwa amekasirishwa kwamba ameshindwa kuhakikisha mkuu mpya aliyemteua kuongoza taasisi kuu ya VOA - U . VOA U sentence: S Agency for Global Media - kwa kipindi cha zaidi ya miaka miwili kwasababu ya vikwazo vya wademokrat kumthibitisha katika baraza la Senate . S Agency for Global Media baraza la Senate sentence: Trump awali alilalamika juu ya ukosefu wa udhibiti wa chombo cha habari ambacho kinamilikiwa na serikali na kinaashiria thamani yake na ile ya wafuasi wake . sentence: Novemba mwaka 2019 , Trump alipendekeza kwamba Marekani ni vyema iwe na chombo kinachoendeshwa , kinachosambaza habari ulimwenguni ili kukabiliana na kile alichokiita habari ambazo ‘si haki ” na “ za uongo ” kutoka CNN na kuionyesha dunia jinsi nchi hii ilivyo ‘nzuri . Novemba Marekani CNN sentence: ” Hata hivyo , kama mahojiano ya Mullah Omar na mifano mingine inavyoonyesha , Trump si rais wa kwanza kukosoa ripoti za VOA . Omar VOA sentence: Hiyo ni kwa sababu wakati taasisi ya habari kwa kawaida inaongozwa na mtu anayeteuliwa na White House , habari zinazofanywa na waandishi waliobobea katika taaluma hiyo wanatakiwa kisheria kutoelemea upande wowote . White House sentence: Mabadiliko ya Uhariri katika Shirika la Utangazaji la Serikali White House na Wizara ya Mambo ya Nje wamekataa ombi la VOA kuelezea zaidi juu ya ukosoaji wa rais uliotangazwa katika televisheni au katika shutuma tofauti ambazo zimeelezewa kwa kina katika kijarida cha White House mapema mwezi huu , ambapo iliishutumu VOA kwa kukuza propaganda za wachina katika matumizi yake ya takwimu wakati wa janga la virusi vya corona . Shirika la Utangazaji la Serikali White House VOA White House VOA sentence: Mkurugenzi wa VOA Amanda Bennett alilipinga dai hilo na kusema shirika “ linajitahidi kuripoti bila ya kupigia debe habari ya upande wowote . VOA Bennett sentence: ” Kwa hakika , VOA ilielezea udhaifu wa China kwa habari zisizo za kweli karibu mara 20 , kwa mujibu wa Kamati ya Wanahabari , kundi ambalo linatetea uhuru wa habari . VOA China sentence: Mwelekeo huu wa uhariri siku zote haukuwa ni sera ya VOA . VOA sentence: Baada ya shirika hili kuundwa mwaka 1942 kupambana na propaganda za Nazi kwa habari maalum , katika miongo ya kwanza ya VOA kuripoti ambapo ilikuwa ni kwa idhini ya wahusika katika serikali . 1942 Nazi VOA sentence: Wakati wa enzi ya Kennedy mzozo wa kombora la Cuba mwaka 1962 , VOA kimsingi ilikuwa ikifanya kazi “ chini ya uangalizi wa serikali , ” amesema Nicholas Cull , profesa wa diplomasia ya umma katika chuo kikuu cha Southern California Annenberg katika chuo cha elimu ya Mawasiliano na Uandishi wa Habari na mwandishi wa kitabu “ The Cold War na Idara ya Habari ya Marekani . Cuba 1962 VOA Cull chuo kikuu cha Southern California Marekani sentence: ” “ Kulikuwa na afisa utawala aliyepelekwa VOA kutoka idara ya habari ya Marekani , ” amesema Cull . VOA Marekani sentence: “ Alikuwa anaidhinisha kila habari . sentence: ” Mwelekeo huo ulivurugika wakati wa kashfa ya Watergate ambayo ilipelekea Rais Richard Nixon kujiuzulu mwaka 1974 . Nixon 1974 sentence: Cull amesema kwamba waandishi wa habari wa VOA ambao walisisitiza kutoa picha kamili kuhusu uchunguzi kuhusiana na shutuma kuwa rais alifanya makosa walipata upinzani kutoka kwa maafisa wa USIA ambao walitaka habari chanya zaidi . VOA USIA sentence: Waandishi walitaka suala la Watergate liwe ni “ somo la uraia litangazwe kuonyesha kwamba nguvu ya Marekani haiko kwa rais kwamba hajawahi kufanya kosa , lakini uwezo wa Bunge kusahihisha kosa hilo kupitia mchakato unaostahili , ” amesema Cull . Marekani sentence: Mwishowe , muafaka ulifikiwa kwamba kila wakati kama kuna habari mbaya kuhusu rais , habari nzuri ni vyema itolewe pia . sentence: “ Hii ilipelekea aina fulani ya matangazo ya ajabu , ” amesema Cull . sentence: “ Walikuwa wakisema , katika habari hivi leo Rais ametajwa kuwa ni mhusika ambaye hatashtakiwa katika mgogoro wa Watergate … na Mke wake Bi Nixon amefungua shule mpya ya watoto hapa Washington DC . Nixon Washington DC sentence: ” Shirika la Habari lilizuiliwa kuonyesha upendeleo Mnamo mwaka 1976 , Bunge na watendaji wa VOA waliazimia kuwa shirika hilo linahitaji mamlaka ya wazi ya uhariri kuhakikisha kwamba wanadumisha uaminifu wao kwa wasikilizaji wa nje . 1976 VOA sentence: Bunge liliandika rasimu ya Muongozo , ambayo inasema VOA lazima itangaze habari za uhakika ; iwe na habari ambazo zinawakilisha jamii ya wamarekani wote ; na kutoa maelezo ya wazi na majadiliano kuhusu sera za Marekani . VOA Marekani sentence: Richard Stengel , mhariri wa zamani wa jarida la Time na waziri mdogo wa zamani wa Mambo ya Nje kwa Masuala ya Diplomasia katika utawala wa Obama , amesema uhuru huu unaitofautisha VOA na baadhi ya washindani wake . Stengel Time VOA sentence: Utaratibu wa kihariri kuhusu shirika ulifafanuliwa zaidi katika sheria mwaka 1994 na mwaka 2016 , ambayo ilielezea hatua maalum kuwakinga waandishi wa habari kutokana na ushawishi wa kisiasa na kulitaka shirika kuheshimu “ viwango vya juu vya uandishi wa utangazaji ” wakati wakiendelea kuwa na msimamo thabiti “ kuhusu malengo ya sera ya mambo ya nje ya Marekani . 1994 2016 Marekani sentence: ” “ VOA si chombo cha utangazaji cha serikali ya Marekani kama ilivyo TV katika nchi zenye utawala wa kiimla ambazo zinatakiwa kuonyesha malengo ya sera za mambo ya nje au misingi ya nchi husika . VOA Marekani sentence: Si kama inavyofanya Korea Kaskazini , au China inavyofanya , au Cuba inavyotenda , au sehemu kama hizo . Korea Kaskazini China Cuba sentence: Ni chombo huru cha utangazaji na kwa sababu hiyo VOA inafuatiliwa na kupendwa na mamilioni ya watu kote duniani , ” Stengel amesema . VOA sentence: Shirika la Utangazaji la Marekani , watendaji wanaidhinishwa na White House Wakati wa waandishi wa habari wa VOA walihitajika kuripoti habari za kweli , shirika chini ya mamlaka ya utendaji , ina madaraka ya kumteua Mtendaji Mkuu wa shirika mama la VOA , U . Marekani White House VOA VOA U sentence: S Agency for Global Media . S Agency for Global Media sentence: USAGM inasimamia idara tano ambazo zinapata ufadhili wa serikali kutoa huduma za mitandao ya habari kwa umma ambapo wanaripoti habari kwa nchi ambako vyombo vya habari vinakumbwa na masharti makali . USAGM sentence: Mtendaji Mkuu wa USAGM , pamoja na bodi ya watendaji wa habari na watalaamu wa masuala ya kimataifa wasioelemea upande wowote , wanateua wakuu wa mitandao ya habari , ikiwa pamoja na VOA . USAGM VOA sentence: Trump alimteua Juni 2018 Michael Pack , mtengeneza filamu mconservative na mkuu wa habari , kama mtendaji mkuu wa USAGM . Juni Pack USAGM sentence: Seneta Mdemokrat Bob Menendez wa New Jersey hivi karibuni aliandika barua White House akisema Pack bado hajajibu maswali ya kamati kuhusu shutuma za biashara yake , taarifa za zamani za kodi ya mapato , na kudai “ mazingira mabaya ” ya kuondoka kwake katika kazi yake ya zamani . Menendez New Jersey White House sentence: Msemaji wa Pack aliiambia VOA kuwa hataki kutoa maoni kwa habari hiyo , kutokana na kuendelea kwa utaratibu wa uteuzi wake . VOA sentence: Clifford May , mkuu wa taasisi ya Ulinzi wa Demokrasia , amesema ukosoaji wa Trump kwa VOA unastahili kwasababu ya kukasirishwa kwake juu ya kutoidhinishwa kwa mgombea aliyemteua . May taasisi ya Ulinzi wa Demokrasia VOA sentence: May alielezea sifa za Mkurugenzi wa VOA , Amanda Bennett kama ni mtu aliyetoka katika utawala wa Rais Mdemokrat Barack Obama , ambaye alishindwa kuelezea kwa kina sera za utawala wa Trump kwa dunia . VOA Bennett Obama sentence: “ Hilo ni vyema lielezewe kwa VOA - - kama si huko , wapi kwingine ? VOA sentence: Hiyo haimaanishi kwamba hakuwezi kuwepo maoni ya wazi , au ukosoaji wa rais pia . sentence: Mambo yote hayo yanaweza kuwepo katika kuleta uwiano . sentence: Inataka mwandishi wa habari mzuri kufanya hivyo , ” May amesema . sentence: “ Ni dhahiri kwamba utawala huu unadhani hilo halifanywi kwa usahihi na wale ambao wana mamlaka . sentence: ” Bennett , mtendaji na mhariri wa zamani wa Bloomberg News na Philadelphia Inquirer , alipewa wadhifa wa mkurugenzi wa VOA mwaka 2016 na ameendelea kuongoza shirika hilo mpaka kuingia kwa utawala wa Trump . Bloomberg News Philadelphia Inquirer VOA 2016 sentence: Wakati wa mgogoro wa mwaka 2001 uliohusu mahojiano na Mullah Omar , waandishi wa habari wa VOA zaidi ya 100 walizungumza , walitia saini waraka kulisihi shirika hilo kupinga shinikizo . 2001 Omar VOA sentence: VOA iliishia kurusha hewani vipande vya mahojiano na ilitoa taarifa kutetea hilo kwa wakosoaji wake . VOA sentence: “ Watu wa Afghanistan wanatusikiliza kwasababu wanatuamini , na sisi tunawaambia habari zote , ” sehemu ya taarifa ilisema hivyo . Afghanistan sentence: Boucher , ambaye hivi sasa ni profesa wa masuala ya mambo ya nje katika chuo kikuu cha Brown , amesema kwamba pande zote baadaye “ ziliachana ” na malumbano . chuo kikuu cha Brown sentence: Chini ya wiki mbili baada ya mahojiano hayo kurushwa , Whitworth alihamishwa kutoka katika wadhifa wake kama kaimu mkurugenzi wa VOA na nafasi yake kuchukuliwa na mteuliwa wa White House , Robert R . VOA White House R sentence: Reilly . sentence: “ Shinikizo halikuwa dhahiri kabisa lakini walieleza bayana kwamba sikutakiwa kuwa na jukumu katika maamuzi ya kiuhariri , ” amesema Whitworth , ambaye ana ujuzi kama mwandishi wa habari katika shirika hilo , na siyo mteuliwa wa kisiasa . sentence: Aliamua kustaafu mapema . sentence: Shirika la Serikali la Utangazaji ambalo linapitia katika mivutano ya kisiasa Vipindi vya siasa za mgawanyiko nchini Marekani , kama vile kumshtaki rais kutaka kumuondoa madarakani au vita , kunaweza kuiweka VOA katika nafasi ngumu , amesema Lata Nott wa Freedom Forum . Marekani VOA Nott Freedom Forum sentence: Lakini hizo pia anasema ni nyakati ambazo shirika la utangazaji linajenga uaminifu kwa wasikilizaji wake . sentence: “ Ukweli ni kwamba taasisi zetu za habari ambazo zinafadhiliwa na serikali kuu haziendeshwi na serikali , lakini kuwa huru ni jambo muhimu sana , ” Nott amesema . sentence: “ Ni kawaida kwa serikali kusema tunalipia hili , tunataka habari zetu nzuri zielezewe , ” amesema Profesa Cull wa USC . USC sentence: “ Ni kawaida kwa waandishi wa habari kusukuma na kusema maadili ya uandishi yanahusu habari kuwa na pande zote mbili , na iwe na ufanisi , lazima tuonyeshe uaminifu . sentence: ” Vyanzo vya habari : Mahojiano ya waandishi wa VOA ; Nicholas Cull , The Decline and Fall of the United States Information Agency : American Public Diplomacy , 1989 - 2001 , 2008 ; Alan L . VOA Cull United States Information Agency American Public Diplomacy 1989 2001 2008 L sentence: Heil , Jr , Voice of America - A History , 2003 . , Jr Voice of America 2003 sentence: Watu wasiyopungua 49 wameuawa na zaidi ya 20 wamejeruhiwa vibaya sana Ijumaa katika shambulizi lililofanyika katika misikiti miwili katika mji wa Christchurch , New Zealand . Ijumaa Christchurch New Zealand sentence: Wanaume watatu na mwanamke mmoja wanazuiliwa na polisi . sentence: Waziri Mkuu wa New Zealand Jacinda Ardern amesema hakuna kati yao aliyekuwa katika orodha ya watu hatari wanaofuatiliwa na vyombo vya usalama . New Zealand Ardern sentence: Mwanaume mwenye umri wa miaka 28 amefunguliwa mashtaka ya mauaji . sentence: Anatarajiwa kupelekwa mahakamani Jumamosi , kwa mujibu wa Kamishna wa Polisi Mike Bush . Jumamosi Bush sentence: Wakati Bush alikataa kutaja jina la mtu huyo aliyefunguliwa mashtaka , kituo cha Televisheni cha New Zealand ( TVNZ ) kimemtaja mtu huyo aliyetumia bunduki kuwa ni Brenton Tarrant , 28 , kutoka Grafton , New South Wales , Australia . kituo cha Televisheni cha New Zealand TVNZ Tarrant Grafton New South Wales Australia sentence: Maafisa nchini Australia wamethibitisha kuwa mtu huyu aliyetumia silaha hiyo ni raia wa Australia . Australia Australia sentence: Waziri Mkuu wa Australia Scott Morrison amesema mtu huyo aliyewekwa chini ya ulinzi wa polisi ni raia wa Australia . Australia Morrison Australia sentence: Morrison amesema mshukiwa huyo aliyefanya shambulizi ni “ gaidi mwenye msimamo mkali wa mrengo wa kulia . sentence: ” Kamishna Bush amesema sehemu ya uchunguzi huo utakuwa kuangalia nyuma kila kinachowezekana kuhakikisha kuwa sisi katika vyombo vya kusimamia sheria na uslama , hatutapoteza fursa yeyote kuzuia kitendo hiki cha kinyama kutokea tena . sentence: ” Walionusurika katika shambulizi hilo wamesema kuwa walioweza kukimbia kuokoa maisha yao , na walipokuwa katika harakati hizo walishuhudia watu wakiwa wameanguka wanavuja damu katika eneo hilo la msikiti wa Al - Noor . Al - Noor sentence: Polisi wamewataka watu wa eneo hilo kuchukuwa tahadhari wakisema kuwa hali bado ni tete na tayari wameweza kuharibu vilipuzi vilivyokuwa vimetegwa katika eneo hilo . sentence: Misikiti hiyo miwili ilishambuliwa wakati wa sala ya Ijumaa iliyohudhuriwa na mamia ya waumini . Ijumaa sentence: Mshambuliaji huyo aliyetumia bunduki alikuwa anaonyesha shambulizi hilo alilolifanya mubashara katika Facebook kupitia kamera aliyokuwa ameivaa kichwani , na picha zilionyesha jinsi wahanga wa mauaji hayo walivyokuwa wanauawa katika msikiti huo . Facebook sentence: Mshambuliaji huyo alionyesha shambulizi hilo baada ya kuchapisha msimamo wake ambapo amewaita wahamiaji ni “ wavamizi ” . sentence: Mitandao ya jamii iliamrishwa mara moja kuondoa picha hizo za mauaji ya kinyama . sentence: Watu 41 kati ya wale waliouawa walikuwa katika msikiti mmoja na watato ni kati ya watu 48 wanaopatiwa matibabu kutokana na majeraha ya risasi , maafisa wamesema . sentence: Wananchi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo , DRC , wametoa maoni yanayo hitalafiana Alhamisi kufuatia hukumu ya kifungo cha miaka 30 alichopewa kiongozi wa zamani wa kundi la wanamgambo waasi la UPC , Bosco Ntaganda , na mahakama ya uhalifu wa kimataifa , ICC , mjini The Hague . Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC Alhamisi UPC Ntaganda ICC The Hague sentence: Baadhi ya wananchi wa mashariki ya DRC wanasema hukumu hiyo ni muda mchache huku watu wakabila lake wakidai kwamba ni uwonevu kwani kuna viongozi wengine wa Kongo wanaostahiki kupelekwa pia mbele ya ICC . DRC Kongo ICC sentence: Mahakimu wa mahakama ya ICC Alhamisi walitoa hukumu Ntaganda atumikie kifungo cha miaka 30 jela kwa makosa ya mauaji , ubakaji na kuwalazimisha watoto kujiunga na wapiganaji wa kundi lake la waasi . ICC Alhamisi sentence: Ntaganda mwenye umri wa miaka 46 alikutwa na hatia ya makosa 18 ya uhalifu wa kivita na uahalifu dhidi ya ubinadamu kwa ushiriki wake wakati wa operesheni za kijeshi mashariki mwa DRC , mwaka 2002 hadi 2003 . DRC 2002 2003 sentence: Ntaganda aliyekuwa amevalia suti ya rangi nyeusi alionekana kusikiliza kwa makini uamuzi wa jaji . sentence: Imeelezwa kuwa tayari alishakata rufaa kuhusu kukamatwa kwake . sentence: Wakati wa ghasia huko DRC , Ntganda na jopo lake la wanajeshi wa UPC wengi kutoka kabila la Hema waliwalenga kabila la Lendu kwenye jimbo lenye utajiri wa madini la Ituri . DRC UPC Ituri sentence: Mamia ya raia waliuwawa na wengine kulazimika kutorokea maeneo mengine . sentence: Katika hukumu hiyo Jaji Robert Fremr alisema ntagandwa sio tu anawajibishwa kwa uhali wa binadamu bali binafsi alimuuwa kasisi wa kanisa katoliki na kuweka mfano kwa wafuasi wake kufuata . Fremr sentence: Imetayarishwa na Mwandishi wetu , Abdushakur Aboud , Washington , DC Aboud Washington , DC sentence: Rais wa Marekani Donald Trump amezungumzia masuala mengi akiwa katikati ya muhula wa uongozi wake akisema huenda akasubiri hadi uchaguzi mkuu wa Israeli , ndipo atakapotangaza mpango wa amani kwa kanda ya Mashariki ya Kati ambao umetayarishwa na mkwe wake Jared Kushner Donald Trump alisema : """" Pengine nitasubiri au nitatangaza sehemu ya mpango huo . Marekani Trump Israeli Kushner Donald Trump sentence: Tuna watu wenye ustadi kama mnavyowafahamu balozi wetu na wengine . sentence: Lakini huenda huo ukawa mkataba mgumu kabisa kufikia amani kati ya Waisraeli na Wapalestina . sentence: Wapalestina tayari wamepinga mpango unaopendekezwa na utawala wa Trump na walisusia mkutano wa Bahrain uliyotayarishwa na Kushner juu ya mpango wa uchumi kwa Palestina . Bahrain Palestina sentence: Akigeukia mazungumzo ya biashara na China alisema China inakabiliwa na matatizo ya kiuchumi na imepoteza nafasi milioni mbili za ajira katika muda mfupi . China China sentence: Trump ameeleza kuwa : """" Wanapoteza karibu nafasi milioni mbili za ajira kama mnavyo fahamu kwani munaripoti juu ya hali ya mambo huko . sentence: wanataka tufikiye makubaliano . sentence: Tutaona kitakachotokea lakini bila shaka wanataka kufikia makubaliano . sentence: Kuhusiana na maandamano ya Hong Kong ambayo yalifanyika kwa amani hapo Jumapili , Trump alifananisha hali hiyo na maandamano ya ghasia ya Beijing ya Uwanja wa Tianamen 1989 . Hong Kong Jumapili Beijing Uwanja wa Tianamen 1989 sentence: Hong kong Rais Trump aliongeza : """" Ningelipenda kuona Hong Kong itatanzua matatizo yao kwa njia ya kibinadamu . Hong Kong sentence: Natumaini Rais Xi anaweza kufanya hivyo . sentence: Bila shaka ana uwezo huo . sentence: Ninadhani itakua jambo zuri kwa mazungumzo ya biashara yanayoendelea . sentence: Vile vile alipongeza jinsi mazungumzo yanavyoendelea pamoja kundi la Taliban na serikali ya Afghanistan , akisema mambo yanadhibitiwa vyema na yote inategemea msimamo wa serikali ya Afghanistan na Wataliban pia . Taliban Afghanistan Afghanistan sentence: Akizungumzia juu ya Iran wakati meli ya mafuta iliyoshikiliwa Gilbrata ikondoka Jumapili usiku baada ya mvutano na nchi za Ulaya , Rais Trump alisema anadhani Tehran ingelipenda sana kuzungumza na Washington kufikia makubaliano lakini bado hawajui vipi waanze . Iran Gilbrata Jumapili Ulaya Tehran Washington sentence: Jambo moja ni kwamba ni watu wa Iran ni wenye fahari sana . Iran sentence: Lakini uchumi wao unaporomoka . sentence: Ninadhani Iran wanataka kufikia katika mazungumzo na wanauwezo mkubwa . Iran sentence: Na ninataka kusema hivyo pia upande wa Korea Kaskazini . Korea Kaskazini sentence: Kuhusiana masuala ya ndani Trump alikiri kwamba alizungumzia suala la kuchukua umiliki wa Greenland kutoka Denmark , lakini alisema sio suala muhimu kwa hivi sasa . Greenland Denmark sentence: Na alisema Makamu Rais Mike Pence atakuwa tena mgombea mwenza atakapo tangaza anawania tena kiti cha urais 2020 . Pence 2020 sentence: Imetayarishwa na mwandishi wetu , Abdushakur Aboud , Washington , DC . Aboud Washington , DC sentence: Mtu mmoja ameuawa na wengine watatu kujeruhiwa na mtu mwenye silaha aliyeingia katika sinagogi Jumamosi huko mjini Poway , Jimbo la California na kuanza kushambulia . Jumamosi Poway California sentence: Poway iko kilomita 25 kaskazini mwa Jiji la San Diego . Poway San Diego sentence: Wakati wa mkutano na waandishi wa habari , mkuu wa polisi wa Kaunti ya San Diego , Bill Gore amesema mwanaume mmoja mzungu aliingia katika sinagogi kabla kidogo ya kufikia saa tano na nusu asubuhi , majira ya pwani ya magharibi , Marekani , na kuanza kurusha risasi kwa kutumia silaha ya kivita aina ya AR ambayo inawezekana ilipata hitilafu baada ya kurusha risasi kadhaa . San Diego Gore saa Marekani sentence: Amesema watu wanne – mwanamke , msichana na wanaume wawili , moja kati yao ni kasisi wa sinagogi hiyo walijeruhiwa kwa risasi . sentence: “ Inasikitisha , kwani mmoja kati yao alikufa kutokana na majeraha ya risasi , ” Gore amesema . sentence: Ameongeza kusema kuwa waathirika wengine watatu , akiwemo kasisi , wako katika hali nzuri . sentence: Wengine waliopatwa na risasi ni Waisraeli wawili – mtoto wa kike wa miaka nane na mjomba wake mwenye umri wa miaka 31 . sentence: Walihamia San Diego miaka michache iliyopita wakitokea mji karibu na Ukanda wa Gaza , Israeli , ambao uliripotiwa kushambuliwa na roketi . San Diego Ukanda wa Gaza Israeli sentence: Gore amesema kuwa afisa wa polisi wa doria mpakani aliyekuwa hayuko kazini ambaye alimuona mtu huyo akikimbia kutoka katika eneo la tukio la uhalifu huo alilenga bunduki kuelekea kwa mshukiwa huyo . sentence: Lakini mshukiwa huyo risasi haikumpata na badala yake ilipiga gari . sentence: Mkuu wa Polisi wa San Deigo David Nisleit amesema kuwa mshukiwa huyo ilielekea kuwa aliwasiliana na polisi na baadae akajisalimisha kwa afisa wa polisi San Diego ambaye alikuwa anaelekea katika eneo shambulizi hilo la bunduki lilipotokea . San Deigo Nisleit San Diego sentence: Amesema mshukiwa huyo ana umri wa miaka 19 na anaishi San Diego . San Diego sentence: Nisleit alituma ujumbe wa tweet kuwa kitengo chake kinasaidia katika uchunguzi huo , na kuwa wakati hakuna vitisho vyovyote vilivyotolewa “ kwa kuchukua tahadhari ya kutosha , tutatoa ulinzi wa doria wa ziada katika maeneo ya ibada . sentence: ” Jumamosi ilikuwa ni siku ya mwisho ya sikukuu ya Wayahudi ikiwa ni kumbukumbu ya kukombolewa kutoka utumwani huko nchini Misri . Jumamosi Misri sentence: Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta alisema Jumatano kwamba watu waliorekodiwa kwa video wakihepa kutoka karantini jijini Nairobi watakamatwa na kurejeshwa kwa karantini ili wamalize mda wao waliotakiwa kujitenga . Kenya Kenyatta Jumatano Nairobi sentence: Kenyatta alisema hayo baada ya video inayoonyesha watu wanaoruka ukuta kutoka katika kituo cha karantini kusambaa kwenye mitandao ya kijamii . sentence: Vyombo vya Habari vya Kenya vliripoti kwamba watu 50 walihepa kutoka Karantini japo serikali haijathibitisha idadi hiyo . Kenya sentence: Kenyatta alisema serikali inawafahamu wote waliohepa . sentence: Tanzania Nchini Tanzania idadi ya watu ambao wamethibitisHwa kuambukizwa virusi vya Corona iliongezeka Jumatano na kufikia 284 . Tanzania Tanzania Jumatano sentence: Kulingana na takwimu za serikali , watu 10 walikuwa wamekufa kufikia wakati tunaandaa ripoti hii . sentence: Maombi maalum yalifanyika kuombea taifa hilo dhidi ya janga la Corona . sentence: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ambaye alihudhuria ibada hiyo alihimiza umuhimu wa wananchi kuendelea na shughuli za kiuchumi ikiwemo kilimo ili kupunguza athari za uchumi zinazosababishwa na janga la Corona . Majaliwa sentence: Maambukizi ya Corona yameripotiwa katika mikoa 17 ya Tanzania . Tanzania sentence: Watu wote anatakiwa kuvaa barakoa , wakiwa katika shughuli za kawaida ili kudhibithi maambukizi . sentence: Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo - DRC Serikali ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo inatarajiwa kulegeza masharti yaliyowekwa kudhibiti maambukizi ya virusi vya Corona , hasa katika mji mkuu wa Kinshasa ambao umerekodi visa vingi vya maambukizi ya virusi vya Corona nchini humo . Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo Kinshasa sentence: Benki na maduka yanayouza vyakula , yanatarajiwa kufunguliwa tena katika sehemu ya Gombe , kitovu cha maambukizi ya Corona DRC . Gombe DRC sentence: Shughuli katika sehemu hiyo zimekuwa zimefungwa kwa mda wa wiki mbili . sentence: Wagonjwa 30 wa Corona walithibithishwa wakati shughuli za kawaida zilikuwa zimesitishwa Gombe , na asilimia 80 ya watu waliokaribiana na wale walioambukizwa kupatikana . Gombe sentence: Polisi wameeka vizuizi barabarani , kuzuia watu kuingia na kutoka Gombe . Gombe sentence: Wafanyakazi maalum wenye vibali , ndio wanaruhusiwa kuingia na kutoka sehemu hiyo . sentence: Nchini Rwanda , mkutano wa jumuiya ya Madola , uliokuwa umepangwa kufanyika mjini Kigali , Rwanda , umeahirishwa kutokana na janga la Corona . Rwanda jumuiya ya Madola Kigali Rwanda sentence: Zaidi ya wajumbe 10 , 000 wakiwemo viongozi wa nchi mbalimbali , walitarajiwa kuhudhuria mkutano huo wa 26 wa jumuiya ya madola , katika mji mkuu wa Rwanda , Kigali . jumuiya ya madola Rwanda Kigali sentence: Mkutano huo ulikuwa umepangiwa kufanyika kuanzia tarehee 22 hadi 27 June mwaka huu . tarehee sentence: Tarehe mpya haijatangazwa . sentence: Hii ingekuwa mara ya kwanza kwa mkutano huo kufanyika katika nchi ambayo haikuwa koloni la Uingereza . Uingereza sentence: Uganda Uganda imeongeza idadi ya watu ambao wameambukizwa virusi vya Corona , kutoka 56 hadi 61 , kulingana na takwimu za Jumatano . Uganda Uganda Jumatano sentence: Hii ni baada ya kuongeza dereva wanne wa magari ya kubeba mizigo kutoka Kenya , na mmoja kutoka Tanzania , waliogunduliwa kuambukizwa baada ya kuingia nchini humo . Kenya Tanzania sentence: Uganda ilianza kuwapima madereva wa magari ya kubeba mizigo , wiki mbili zilizopita . Uganda sentence: Madereva hao wanapimwa na kuruhusiwa kuendela na safari zao , huku wakifuatiliwa . sentence: Iwapo vipimo vinabaini kwamba wameambukizwa Corona , wanawekwa karantini . sentence: Awali , Uganda haikuwa inajumulisha madereva kutoka nje , wanaopatikana kuambukizwa Corona , kwa idadi ya wagonjwa nchini humo na badala yake imekuwa ikiwarudisha katika nchi wametoka . Uganda sentence: Wizara ya afya a Uganda imesema kwamba shirika la afya duniani limetoa mwelekeo kwamba kila kisa cha maambukizi kinahesabiwa katika nchi kimeripotiwa . Uganda shirika la afya duniani sentence: Kulingana na wizara ya afya ya Uganda , kati ya madereva wa magari ya kubeba mizigo 70 na 1 , 000 hufanyiwa vipimo nchini Uganda kila siku . Uganda Uganda sentence: Afrika Kusini Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa , alitangaza kutenga kiasi cha dola bilioni 26 kusaidia kampuni na wafanyakazi milioni 3 wakati huu wa janga la Corona . Afrika Kusini Afrika Kusini Ramaphosa sentence: Katika hotuba kwa taifa kupitia televisheni siku ya Jumatano , Ramaphosa alisema msaada huo wa kifedha ni kiasi cha asilimia 10 ya mapato ya jumla ya Afrika kusini . Jumatano Afrika kusini sentence: Pesa hizo zitatolewa kwa bajeti ya taifa , lakini amesema pia kwamba serikali yake inafanya mazungumzo na benki kuu ya dunia Pamoja na shirika la fedha duniani IMF , kwa msaada zaidi . benki kuu ya dunia shirika la fedha duniani IMF sentence: Ramaphosa amsema kwamba msaada wa kifedha unahusu msamaha wa kulipa ushuru , kulipa mishahara kupitia kwa bima ya kukosa ajira na kufadhili biasahra ndogondogo . sentence: Lesotho Waziri mkuu wa Lesotho Thomas Thabane , ameongeza mda wa watu kusalia nyumbani kwa wiki mbili zaidi ili kudhibithi maambukizi ya virusi vya Corona . Lesotho Lesotho Thabane sentence: Nchi hiyo , haijaripoti kisa chochote cha maambukizi ya Corona , lakini amri ya watu kusalia makwao imekuwa ikitekelezwa kwa mda wa wiki tatu zilizopita . sentence: Amri hiyo itaendelea kutekelzwa hadi May tarehe 5 . May sentence: Waziri mkuu Thabane amesema kwamba hatua ya kuongeza mda wa kusitisha shughuli za kawaida , itatoa fursa kwa serikali kujipanga vyema jinsi ya kushughulikia janga hilo endapo litatokea nchini humo . sentence: Zimbabwe Nchini Zimbabwe wafanyabiashara katika maduka ya reja reja , wamekubaliana kupunguza kabisa bei ya bidhaa muhimu ili kuwasaidia watu , nchi hiyo inapopitia wakati mgumu zaidi wa kiuchumi kutokana na maambukizi ya virusi vya Corona . Zimbabwe Zimbabwe sentence: Wizara ya Habari imesema kwamba Habari zaidi kuhusu mpango huo zitatolewa baadaye . sentence: Mfumuko wa bei umeongezeka nchini Zimbabwe na kufikia asilimia 676 mwezi Machi , kutoka asilimia 540 mwezi Februari . Zimbabwe Machi Februari sentence: Zimbabwe , ambayo inaagiza kiasi kikubwa cha chakula kutoka nje ya nchi , inakabiliwa vile vile na uhaba wa sarafu za nje . Zimbabwe sentence: Bei ya vyakula imeendelea kuongezeka katika wiki za hivi karibuni . sentence: Bei ya mkate imeongezeka kutoka dola 20 za Zimbabwe had idola 30 . Zimbabwe sentence: Nigeria Magavana katika majimbo ya kaskazini mwa Nigeria , wamekubaliana kufunga shule za kiislamu zinazotoa mafunzo kwa mamilioni ya vijana katika eneo hilo , kutokana na janga la virusi vya Corona . Nigeria kaskazini mwa Nigeria sentence: Katika taarifa ya Pamoja , magavana hao wamesema kwamba hatua ya kufunga shule hizo inatokana na hatari kubwa iliyopo ya maambukizi , na kwamba Watoto waliokuwa katika shule hizo watarudishwa kwa wazazi wao . sentence: Watoto mayatima watasaidiwa na serikali za majimbo katika sehemu watakapopelekwa .