sentence: Rais Joseph Kabila anaachia madaraka baada ya miaka 18 ya uongozi wake . Kabila sentence: Polisi na jeshi wamezuia waandamanaji walio jaribu kuandamana na kuvuruga shughuli za kibiashara . sentence: Burkov was arrested in December 2015 while leaving Israel . December Israel sentence: Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Mike Pompeo Jumapili aliishutumu Beijing kwa kuficha hali mbaya iliyokuwa ikiendelea juu ya virusi hivyo na kuendelea kuhodhi shehena za vifa vya matibabu . Marekani Pompeo Jumapili Beijing sentence: Alisema maandamano yalifanyika huko Bory na chuo kikuu cha Khartoum mahala ambako waalimu na watawala wa chuo kikuu walijumuika kwenye maandamano . Bory Khartoum sentence: “ Taarifa kutoka vyanzo sahihi zinaonyesha kuwa wameshaanza maandalizi yote ikiwemo uchapishaji wa fulana , kuchoresha mabegi ya mkutano huo na kuhakikishiwa ulinzi wa polisi , ” alisema Bashange . sentence: Lakini muswada wa kufadhili ujenzi wa ukuta kwenye mpaka kati ya Marekani na Mexico kwa kitita cha dola billioni 5 kama inavyopendekezwa na Rais Trump haupo kwenye ajenda ya kikao hicho cha baraza la wawakilishi cha Alhamisi . Marekani Mexico Alhamisi sentence: Waliulizana maswali na kujibu , katika mazungumzo ya ziada yaliyoanza baada ya Biden kumuuliza Sanders kama ana swali lolote la kumuuliza . sentence: 4 . sentence: Merkel ameeleza kufunguliwa kwa chuo kikuu cha pamoja kuwa ni mfano wa ushirikiano wa kipekee kati ya Uturuki na Ujerumani . Uturuki Ujerumani sentence: Jumuiya 38 zinazo simamia haki za binadamu na raia ulimwenguni zinataka serikali ya Tanzania kushughulikia hali inayozidi kuwa mbaya ya ukandamizaji wa haki za binadamu inayoendelea nchini humo . Tanzania sentence: Unapaswa kurudisha mara moja . sentence: Wanachama wanaomuunga mkono Kiongozi wa Chama cha Wananchi ( CUF ) , Maalim Seif , umewatahadharisha wajumbe wanaomuunga mkono Profesa Ibrahim Lipumba , ambaye anatambuliwa na ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa kutohudhuria mkutano ulioandaliwa kufanyika Machi 12 - 15 kumuondoa kiongozi wao . Chama cha Wananchi CUF Seif Lipumba Machi sentence: Na sisi lazima tukwambie maneno ambayo lazima urekebike . sentence: Hii ni idadi kubwa ya vifo kutokea tangu miezi miwili iliyopita kufuatia mvua kubwa katika taifa hilo la Afrika ya Kati . Afrika sentence: Bashange alisema Lipumba anayedaiwa kushirikiana na Msajili wa Vyama vya Siasa Jaji Francis Mutungi , amepanga kumfukuza uanachama Maalim Seif na viongozi wenzake halali . Mutungi Seif sentence: Naomba mwenyezi mungu awalinde ndugu zetu wa kusini ambao wamechukuwa udhibiti kamili wa mji . sentence: Katika ukosoaji wa nadra kwa umma , shirika la afya Duniani - WHO wiki iliyopita lilieleza kwamba katika kupingana na kanuni za kimataifa za afya , Tanzania ilikataa kutoa taarifa za kina za kesi zinazoshukiwa kuwa za Ebola . shirika la afya Duniani WHO Tanzania sentence: citizens . sentence: Mzaliwa wa New Jersey , Issachar alikamatwa mwezi April baada ya polisi kumkuta akiwa na gram tisa za bangi katika begi lake alipokuwa akisubiri kuendelea na safari yake uwanjwa wa ndege wa Moscow . New Jersey April Moscow sentence: Unaponda nchi yako bila sababu yoyote . sentence: Unataka kushirikisha kila mtu , hata wale wasiokubaliana na wewe , ” aliongezea Sanders katika mazungumzo yao . sentence: Katika video ya awali Rahaf alionekana akitembea ndani ya chumba cha hoteli huku akisema “ anataka kuishi ” . sentence: Wafanyakazi watatu wa afya wameuawa na wengine kadhaa wamejeruhiwa katika mashambulizi yaliyofanyika katika vituo viwili vya kupambana na Ebola huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ( DRC ) mapema Alhamisi . Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC Alhamisi sentence: Nitakuhitaji sana sio tu kushinda uchaguzi bali pia kuongoza taifa , ” alisema Biden katika mazungumzo yao . sentence: Wanatumia wanavyotaka . sentence: Hii inafuatia kutekwa kwa majengo ya serikali na wapiganaji wanaotaka kujitenga upande wa kusini . sentence: Kama unavyoshuhudia usafiri unaendelea vyema watu wakirudi sokoni . sentence: Mwezi Novemba 10 , Mahakama ya Juu ya Israel ilitupilia mbali rufaa ya Burkov wakati Russia ikipinga suala la kukamatwa kwake . Novemba Israel Russia sentence: Gazeti la The East African limeripoti Jumamosi kuwa katika barua ya wazi iliyotumwa mwisho mwa wiki hii kwa Wawakilishi Wakazi wa Kudumu wa Wanachama na Waangalizi wa Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa , taasisi hizo zinataka hatua zichukuliwe dhidi ya serikali ya Tanzania wakati wa Kikao cha 41 cha Baraza hilo kilichopangwa kufanyika kati ya Juni 21 na Julai 12 . The East African Jumamosi Umoja wa Mataifa Tanzania Juni Julai sentence: Pia imesababisha bei ya mafuta ghafi Marekani kufikia chini ya sifuri kwa pipa wiki mbili zilizopita . Marekani sentence: Born in New Jersey , Issachar was arrested in April after police found nine grams of cannabis in her luggage during a layover at a Moscow airport . New Jersey April Moscow